admin

Ukarimu Wa Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu)

Miswar bin Makhramah (Radhiya Allaahu anhu) anaripoti: Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakati fulani aliuzisha shamba la mizabibu kwa Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa dinars elfu arobaini. Wakati Abdur Rahmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) alipokea pesa hizo kutoka kwa Uthmaan, hapo hapo alizigawa kwa wake waliobarikiwa wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam), …

Soma Zaidi »

Abdur-Rahman bin Awf (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akiongoza Swalaah.

Wakati wa safari ya Tabook, Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa wakisafiri pamoja na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwaacha Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) kwenda kujisaidia. Kwa vile hakukuwa na muda mwingi uliobakia kwa Swalah ya Alfajiri, na Maswahabah (Radhiya allahi ‘anhum) waliogopa kwamba muda wa swalaah ungepita, …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 2

6. Ni vizuri kuvaa nguo nyeupe.[1] Imepokewa kutoka kwa Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Vaa nguo nyeupe, kwa sababu hiyo ni nguo bora kabisa, na wafunike humo marehemu zenu.”[2] 7. Imepokewa kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikuwa akisoma Surah Sajdah katika rakaa ya …

Soma Zaidi »

Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud

Kuhusiana na uvumilivu wa Talha (Radhiya Allaahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud, Sa’d bin Abi Waqqaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) ametaja yafuatayo: Allah Ta’ala amrehemu Talhah. Bila shaka, kutoka kwetu sote, alimsaidia Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) zaidi siku ya Uhud. Sa’d (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliulizwa, “Tueleze jinsi (alivyomsaidia Mtume (Sallallahu alaihi …

Soma Zaidi »

Shemeji Wa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alioa wake wanne. Kila mmoja katika wake zake wanne alikuwa dada wa mmoja katika wake wa Mtume wanaoheshimika (Sallallahu alaihi wasallam). Kwa sababu ya hili ndio maana Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alimwambia, “(Wewe ni) shemeji yangu hapa duniani na Akhera (yaani utakuwa shemeji yangu katika Jannah).” …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 1

1. Soma Surah Dukhan siku ya Alhamisi usiku. Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) kuwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Surah Haa-mim Ad Dukhaan usiku wa kuamkia Alhamis atasamehewa madhambi yake.”[1] 2. Oga (fanya ghusl) siku ya Ijumaa. Yule ambaye ataoga siku ya Ijumaa, madhambi yake madogo …

Soma Zaidi »

Watoto Wachamungu – Uwekezaji Wa Akhera

Miongoni mwa fadhila za thamani za Allah Ta’ala juu ya mwanadamu ni fadhila ya watoto. Fadhila za watoto ni miongoni mwa neema maalum za Allah Ta’ala zilizotajwa katika Quraan Majeed. Allah Ta’ala anasema: وَاللَّهُ جَعَلَ لَكُم مِّنْ أَنفُسِكُمْ أَزْوَاجًا وَجَعَلَ لَكُم مِّنْ أَزْوَاجِكُم بَنِينَ وَحَفَدَةً وَرَزَقَكُم مِّنَ الطَّيِّبَاتِ ۚ Allah Ta’ala …

Soma Zaidi »

Ukarimu Mkubwa wa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Mke wa Talhah (rahdiyallahu ‘anhu), Su’da bint ‘Awf al-Muriyyah alitaja tukio lifuatalo kuhusu mumewe Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu): “Siku moja, Talhah aliingia nyumbani katika hali ya dhiki. Nilipoona hali hii, nilimwambia, ‘Kwa nini ninakuona ukiwa na huzuni? Kuna nini? Je! nilifanya jambo ambalo limekuuzi hadi nakuona ukiwa umefadhaika? Tafadhali niambie …

Soma Zaidi »

Urithi Ya Watoto Wachamungu

Baba yake Nabii Yunus (alaihis salaam) alikuwa mtu mchamungu akiitwa Mattaa. Yeye na mkewe, kwa muda mrefu, walitamani kwamba Allah Ta’ala Awajaalie mtoto wa kiume na amweke kuwa Nabii wa Bani Israa’il. Miaka mingi ilipita, huku wakiendelea kuomba dua, mpaka hatimaye, waliamua kwenda kwenye chemchemi iliyobarikiwa ya Nabii Ayyoob (alaihis …

Soma Zaidi »