admin

Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) anapoteza Meno Yake

Wakati wa vita vya Uhud, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa ameumizwa vibaya sana na adui na vipande viwili vya kofia yake vikapenya kwenye uso wake wa mubarak. Abu Bakr Siddiq (radhiyallahu ‘anhu) na Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) mara moja wakakimbia na kumsaidia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »

Kupata Rehma Kumi

عن أبي هريرة أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: من صلى علي واحدة صلى الله عليه عشرا (صحيح مسلم،  الرقم: ٤٠٨) Sayyiduna Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Nabii (sallallahu ‘alaihi wassallam) amesema ” yoyote atakaye nitumia salaam mara moja, allah subhaana wata’alah atamtumia salaam (yaani atampa zawadi …

Soma Zaidi »

Swalah Ya Wanaume

Nafasi ya juu ambayo Swalah inashikilia katika maisha ya Muislamu haihitaji maelezo yoyote. Ukweli kwamba kitakuwa ni kipengele cha kwanza ambacho mtu ataulizwa Siku ya Qiyaamah ni ushahidi tosha wa umuhimu wake. Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) amesema: إن أول ما يحاسب الناس به يوم القيامة من أعمالهم الصلاة قال …

Soma Zaidi »

Bashara Nzuri Kutoka Kwa Allah( Subhaana Wata’alah) Kwa Wale Ambao Wanamsalia Mtume

عن عبد الرحمن بن عوف رضي الله عنه قال خرج رسول الله صلى الله عليه وسلم فاتبعته حتى دخل نخلا فسجد فأطال السجود حتى خفت أو خشيت أن يكون الله قد توفاه أو قبضه قال فجئت أنظر فرفع رأسه فقال ما لك يا عبد الرحمن قال فذكرت ذلك له فقال …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti

36. Soma dua ya Sunna unapotoka msikitini.[1] Dua ya kwanza: بِسْمِ اللهِ وَالصَّلاَةُ وَالسَّلاَمُ عَلٰى رَسُوْلِ اللهِ اَللّٰهُمَّ إِنِّيْ أَسْأَلُكَ مِنْ فَضْلِكَ Kwa jina la Allah Ta’ala. Amani na salamu ziwe juu Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Ewe Allah Ta’ala, nakuomba Neema zako.[2] Dua ya Pili: بِسْمِ اللهِ وَالصَّلاَةُ وَالسَّلاَمُ …

Soma Zaidi »

Ujumbe wa Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) kwa Waislamu

Wakati wa vita vya Uhud, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) aliuliza, “Sa’d bin Rabee yuko wapi? Sijui hali yake.” Baada ya hapo, mmoja wa Maswahaba (radhiyallahu ‘anhum) alitumwa kumtafuta. Alikwenda hadi mahali ambapo miili ya mashahidi zilikuwepo. Alipaza sauti kwa jina la Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) kuona kama yupo hai. Mahali fulani …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti

33. Kama unasinzia msikitini basi badili sehemu yako kwa kusogea na kukaa sehemu tofauti msikitini, ilimradi sio wakati ambapo khutba inaendelea. Kupitia kuhamia mahali pengine, usingizi wa mtu huondolewa.[1] عن ابن عمر رضي الله عنهما قال سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول إذا نعس أحدكم وهو في المسجد …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya ‘Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwa Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam)

Usiku ule Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) anatoka kwenda kuhijiria kwenda Madinah Munawwarah, makafiri walikuwa wameizunguka nyumba yake ili wamuue. Kabla ya kuondoka, Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) alimuagiza ‘Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) kulala nyumbani kwake ili makafiri wafikirie kuwa Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) bado yuko ndani na hawatatambua kuwa alikuwa ameondoka. …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Takaathur

Kushindana baina ya watu katika kukusanya mali (na manufaa ya dunia) kumekushughulisha (kutoka katika utiifu wa Allah Ta‘ala na Akhera). (Hili linaendelea) mpaka mtazuru makaburi (yaani mpaka mtakapofariki). Hapana! hivi karibuni mtakuja kujua (ukweli wa mambo ya dunia ukilinganisha na Akhera, na malengo ya kweli ambayo mlipaswa kuyapigania). Tena, hivi karibuni mtakuja kujua (ukweli). Hapana! Lau mngelijua kwa ujuzi wa yakini (basi msingefanya hivi). Bila ya shaka mtaliona Moto wa Jahannam. Kisha bila ya shaka mtaliona kwa jicho la yakini. Kisha bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo (Siku ya Qiyaamah), kuhusu neema zote (mlizozistarehesha duniani).

Soma Zaidi »