Yearly Archives: 2023

Tafseer Ya Surah Lahab

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ ‎﴿١﴾‏ مَا أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُ وَمَا كَسَبَ ‎﴿٢﴾‏ سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ ‎﴿٣﴾‏ وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ ‎﴿٤﴾‏ فِي جِيدِهَا حَبْلٌ مِّن مَّسَدٍ ‎﴿٥﴾‏ Iangamie mikono yake miwili ya Abu Lahab, na aangamie! Mali yake hayakumnufaisha wala aliyo yachuma. Hivi karibuni ataingia kwenye moto uliojaa miali ya moto, pamoja na mke …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 1

Kuna baadhi ya surah ambazo zinatakiwa kusomwa kwenye nyakati maalum wakati wa usiku na mchana au katika siku fulani ndani ya week. Ni mustahab kwa mtu kusoma surah hizi kwa muda wake. 1. Soma Surah Kaafirun kabla ya kulala Imepokewa kutoka kwa Jabalah bin Haarithah (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Mtume (Sallallahu …

Soma Zaidi »

Qa’dah Na Salaam

7. Ikiwa ni qa’dah ya mwisho, basi soma tashahhud, Swalawaat Ebrahimiyyah na baada ya hapo fanya dua. Swalawaat Ibrahimiyyah ni ifuatavyo: اَللّٰهُمَّ صَلِّ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا صَلَّيْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ  وَبَارِكْ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا بَارَكْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ فِيْ الْعَالَمِيْنَ …

Soma Zaidi »

Hayaa ya ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu)

‘Aaishah (radhiya allaahu ‘anha) anasimulia yafuatayo: Wakati mmoja, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa amelala chini nyumbani kwangu na kanzu yake ilihamishwa kidogo kutoka eneo la paja lake au goti lake, ingawa paja lake na goti yalifunikwa na kikoyi chake. Wakati huo, Abu Bakr (radhiya allaahu ‘anhu) aliomba ruhusa ya kuingia. …

Soma Zaidi »

Qa’dah Na Salaam

3. Soma Dua ya Tashahhud. اَلتَّحِيَّاتُ الْمُبَارَكَاتُ الصَّلَوَاتُ الطَّيِّبَاتُ لِلّٰهِ السَّلَامُ عَلَيْكَ أَيُّهَا النَّبِيُّ وَرَحْمَةُ اللّٰهِ وَبَرَكَاتُهُ سَلَامٌ عَلَيْنَا وَعَلٰى عِبَادِ اللّٰهِ الصَّالِحِيْنَ أَشْهَدُ أَنْ لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّدًا رَّسُولُ اللّٰهِ Ibaadah zote za Kisomo zilizobarikiwa, ibaadah za kimwili ni za Allah Ta’ala. Amani ya Allah Ta’ala …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 8

23. Ikiwa umehifadhi sehemu yoyote ya Qur’an Majeed basi hakikisha kwamba unapitia na kufanya muraaja’a mara kwa mara ili usiisahau. Hadith imetahadharisha juu ya kupuzia kisomo cha Quraan Majeed na kusahau ulichohifadhi. Abu Muusa Ash’ari (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam ) alisema, “Ichunge (na ilinde) Quraan Takatifu. …

Soma Zaidi »

Bashara Za Jannah

Abu Muusa (Radhiya Allaahu ‘anhu) anasimulia yafuatayo: Wakati fulani nilikuwa na Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) katika bustani mmoja wa Madina Munawwarah alipokuja mtu na kuomba ruhusa ya kuingia kwenye bustani hiyo. Aliposikia ombi la mtu huyo, Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akaniambia: “Mruhusu aingie na umpe bashara ya daraja la juu …

Soma Zaidi »

Rakaa ya Pili

1. Unapoinuka kutoka kwenye sajdah, kwanza inua paji la uso na pua; kisha viganja vya mkoni na mwisho magoti. 2. Ukiwa unasimama kwa ajili ya rakaa ya pili, chukua usaidizi kutoka ardhini kwa kuweka mikono yako miwili juu yake. 3. Tekeleza rakaa ya pili kama kawaida (bila ya kusoma Dua- …

Soma Zaidi »

Muislamu Wa Kwanza Kufanya Hijrah Pamoja Na Familia Yake

Anas (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) alikuwa ameondoka kwenda Abyssinia, akihijiria pamoja na mke wake mheshimiwa, Ruqayyah (radhiyallahu ‘anha), binti Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam). Habari za hali yao zilicheleweshwa, na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) akawa na wasiwasi na alikuwa akitaka kutoka Makkah Mukarramah kupata habari zao. Hatimaye, mwanamke …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 7

22. Baada ya kumaliza kusoma Quraan Majeed yote basi soma dua ifuatayo: اَللّٰهُمَّ ارْحَمْنِيْ بِالْقُرْآنْ وَاجْعَلْهُ لِيْ إِمَاماً وَّهُدًى وَّرَحْمَةً اَللّٰهُمَّ ذَكِّرْنِيْ مِنْهُ مَا نَسِيْتُ وَعَلِّمْنِيْ مِنْهُ مَا جَهِلْتُ وَارْزُقْنِيْ تِلَاوَتَهُ آنَاءَ اللَّيْلِ وَأَطْرَافَ النَّهَارِ وَاجْعَلْهُ لِيْ حُجَّةً يَا رَبَّ الْعَالَمِيْنَ Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala)! Nimiminie rehema Yako makhsusi …

Soma Zaidi »