Katika zama za kabla ya Uislamu na baada ya Uislamu kufika, Uthmaan bin Talhah alikuwa mlinzi wa ufunguo wa Ka’ba. Alikuwa akifungua Ka’bah siku za jumatatu na alhamisi, akiwaruhusu watu kuingia na kujishughulisha na ibaadah. Wakati mmoja, kabla ya hijrah, watu walipokuwa wakiingia ndani ya Ka’bah katika hizo siku, Rasulullah …
Soma Zaidi »Sunnah na Adabu Za Kuwatembelea Wagonjwa 2
4. Unapowatembelea wagonjwa, soma dua ifuatayo: لَا بَأْسَ طَهُوْرٌ إِنْ شَاءَ اللهُ Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi, kupitia maradhi haya, utatakasika inshaAllah.[1] Unaweza pia kusoma dua ifuatayo mara saba: أَسْألُ اللهَ الْعَظِيْمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيْمِ أَنْ يَّشْفِيَكَ Ninamuomba Allah Ta’ala, Mola wa Arshi kubwa, akuponye. Imepokewa kutoka kwa Ibnu …
Soma Zaidi »Kupokea Cheo Cha ‘Msaidizi Maalum’ wa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam)
Katika tukio la Vita vya Ahzaab, vilivyojulikana pia kama Vita vya Khandaq, Waislamu walipata habari kwamba Banu Quraidhah wamevunja kiapo chao cha kumtii Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na wamejiunga na maadui. Ili kuhakikisha taarifa hizo, Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) aliwauliza Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum), “Ni nani atakayeniletea habari za watu …
Soma Zaidi »Sunnah na Adabu Za Kuwatembelea Wagonjwa 1
1. Ni mustahabu kufanya wudhu kabla ya kumtembelea mgonjwa.[1] Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Mwenye kufanya wudhu kamili (yaani kwa kutimiza sunnah na vitendo vya mustahab vya wudhu) na akafunga safari kwenda kumtembelea ndugu yake Mwislamu mgonjwa kwa matumaini ya kupata thawabu za kumtembelea mgonjwa, …
Soma Zaidi »Majeraha Katika Njia Ya Allah Ta’ala
Hafs bin Khaalid (rahimahullah) anasimulia kwamba mzee mmoja aliyetoka Mowsil alimwambia yafuatayo: Wakati fulani nilifuatana na Zubair (Radhiyallahu ‘anhu) moja kati ya safari zake. Wakati wa safari, tukiwa katika ardhi iliyo wazi, isiyo na maji, Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) alihitaji kufanya ghusl la fardh. Akaniambia hivi: “Nifiche (kwa kitambaa ili …
Soma Zaidi »Fadhila Za Kuwatembelea Wagonjwa 2
Kuepushwa Mbali Na Moto Wa Jahannam Sawa Sawa Na Urefu wa Miaka Sabini Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Mwenye kufanya wudhu kamili (yaani. kwa kutimiza sunnah na vitendo vya mustahab vya wudhu) na akafunga safari kwenda kumtembelea ndugu yake Mwislamu mgonjwa kwa matumaini ya kupata …
Soma Zaidi »Swalaah – Ufunguo wa Jannah
Uislamu ndio njia pekee inayoongoza kwenye mapenzi ya Allah Ta’ala na inaongoza kwenye Jannah. Kupitia Uislamu, mtu atapata radhi za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na kupata mafanikio ya milele. Katika faradhi zote za Uislamu, faradhi ya Swalaah ipo na daraja ya juu zaidi. Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Swalah ni …
Soma Zaidi »Kuitikia Wito wa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) Baada ya Vita vya Uhud
Wakati mmoja, ‘Aaishah (Radhiya Allaahu ‘anha) alizungumza na mpwa wake ‘Urwah (rahimahullah) na akasema, “Ewe mpwa wangu! Baba zako wote wawili (baba yako na babu yako mzaa mama), Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu), walikuwa miongoni mwa kundi la Maswahaba ambao Allah Ta’ala aliwazungumzia katika Aya …
Soma Zaidi »Fadhila Za Kuwatembelea Wagonjwa 1
Kupata Dua Ya Malaika Elfu Sabini Imepokewa kutoka kwa Ali (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kumtembelea mgonjwa asubuhi, Malaika elfu sabini humuombea rahma kwa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) mpaka jioni, na anayemtembelea mgonjwa jioni, Malaika elfu sabini humwomba rahma kwa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) mpaka asubuhi, …
Soma Zaidi »Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akitoa Upanga Wake Kumlinda Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)
‘Urwah bin Zubair (rahimahullah) anasimulia yafuatayo: Wakati mmoja, Shetani alizusha uwongo kwamba Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ametekwa na Makafiri katika eneo la juu la Makkah Mukarramah. Aliposikia uzushi huu, Zubair (Radhiyallahu ‘anhu), ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili tu wakati huo, mara moja akaondoka, akiwapita watu na …
Soma Zaidi »