Sunna na Adabu

Watu Ambao Dua Zao Zinakubaliwa

Wazazi, Wasafiri na Wenye Kudhulumiwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Dua tatu ni kwamba bila shaka zitakubaliwa; Dua ya baba (au mama kwa mtoto wao), Dua ya musaafir (msafiri) na dua ya mwenye kudhulumiwa.”[1] Mwenye Kufunga Na Imaamu Muadilifu Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Malaika Akimuombea Dua Anayemuombea Ndugu Yake Dua Abud Dardaa (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa akisema: “Dua anayoifanya Muislamu kwa ajili ya ndugu yake wakati hayupo inakubaliwa. Kila anapoomba dua kwa ajili ya wema ya ndugu yake, kuna Malaika ambaye amechaguliwa kusimama kichwani kwake. Malaika huyo husema …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Anayefanya Dua Siku zote Anafaidi Abu Sa’eed Khudri (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Muislamu yoyote akimuomba Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na kumnyenyekea, na dua yake haina dhambi yoyote (yaani kuomba jambo lolote lisiloruhusiwa) au kukata mahusiano ya kifamilia, Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) atamjaalia moja katika mambo …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Silaha Ya Muumini Ali (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema, “Dua ni silaha ya Muumini, nguzo ya Dini, na nuru ya mbingu na ardhi.”[1] Dua Ni Asili ya Ibaadah Anas (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Dua ndio asili ya ibaadah.”[2] Allah Ta’ala Hufurahishwa …

Soma Zaidi »

Dua

Dua ni njia ambayo mja huchota kutoka katika hazina zisizo na mipaka za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Kuna fadhila nyingi zilizoripotiwa ndani ya Hadith kwa wale wanao omba dua. Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema kwamba dua ni asili ya ibaadah zote.[1]  Katika Hadith nyingine, Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ametaja kuwa …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 5

10. Soma Sura Fatiha na Sura Ikhlaas kabla ya kulala. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “(Wakati wa kulala,) unapoweka ubavu wako juu ya kitanda, na ukasoma Sura Faatihah na Sura Ikhlaas, basi utasalimika na kila kitu isipokuwa kifo.”[1] 11. Soma Surah Zumar na Surah Bani …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 4

8. Soma Surah Kahf siku ya Ijuma. Ibnu Umar (radhiyallahu anhuma) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Surah Kahf siku ya ijuma, nuru (mwanga) hutoka chini ya miguu yake na kupanuka hadi kufika angani. Nuru hii itan’gaa siku ya Qiyaamah, na madhambi yake yote (madogo) atakayofanya katikati …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 3

6. Soma Surah Sajdah kabla ya kulala. Jaabir (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa halali mpaka asome Surah Sajdah na Surah Mulk.[1] Khaalid bin Ma’daan (rahimahullah), ambae ni Taabi‘i, ametaja yafuatayo:“Hakika Sura Sajdah itabishana kaburini kwa kumtetea mwenye kuisoma. Itasema, ‘Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala)! Ikiwa nipo …

Soma Zaidi »

Qunoot

4. Jinsi ya kutekeleza rakaa tatu za Witr ni kwamba utaswali rakaa mbili kwanza na kutoa salaam. Baada ya hapo utaswali rakaa moja. Ukipenda unaweza kuswali rakaa mbili na kukaa kwa ajili ya tashahhud. Kisha utasimama na kutekeleza rakaa ya tatu. Katika hali zote mbili, Qunuut itasomwa katika rakaa ya …

Soma Zaidi »

Qunoot

3. Ni sunna kuswali Witr kila siku katika kipindi chote cha mwaka. Swala ya Witr itatekelezwa baada ya kuswali Fardh na Sunnah za Swalah ya Esha. Kwa mwaka mzima, mtu anaposwali Witr, hatosoma Qunoot. Lakini, ni sunna kusoma Qunout kwenye Witr katika kipindi cha pili ya Ramadhaan (tangu 15 Ramadhani …

Soma Zaidi »