Sunna na Adabu

Aina Za Sunna Za Kufanya Istinja – Saheemu Ya Tatu

7. Ingia chooni na mguu wako wa kushoto

8. Usivuwe nguo yako ukiwa umesimama anza kuvua nguo yako ukiwa umekaribia chini hili utumie muda mchache kwa kufunua sehemu zako za siri.

Sayyidina Abdullah Bin Umar (radhiyallahu 'anhuma) ametowa ripoti kuwa pindi Nabii wa Allah subhaana wata'alah (sallallahu 'alaihi wassallam) alipokuwa anataka kujisaidia alikuwa hapandishi nguo yake mpaka akaribie kufika chini.

Soma Zaidi »

Jinsi Ya Kujisaidia Na Kufanya Istinja (Istinja Ni Kutumia Maji Baada Ya Kujisaidia) – Sehemu Ya Kwanza

Umuhimu Wa Usafi Uislaam ni dini iliyokamilika na iliyo safi. Uislaam ni dini inayotufundisha usafi kwa njia zote za maisha ya mwanadamu. Nabii ﷺ amesema: الطهور شطر الإيمان “usafi ni nusu ya imani”[1] Ukweli ni kwamba, uislaam unatuongoza katika njia na kutuonesha jinsi ya kukaa kwenye usafi wa ndani na …

Soma Zaidi »