Sunna na Adabu

Sunna Na Adabu Za Dua 1

1. Anza kuomba dua yako kwa kumtukuza Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) kisha umswalia Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam). Baada ya hapo, katika hali ya unyenyekevu na heshima zote, taja haja zako mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) Fadhaalah bin Ubaid (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) …

Soma Zaidi »

Nyakati Ambapo Dua Zinakubaliwa

Wakati wa Adhaan na Wakati Majeshi Mawili Yanapokutana Katika Vita Sahl bin Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Kuna nyakati mbili ambazo dua hazikataliwi au mara chache sana dua zinazo ombwa katika nyakati hizi mbili hazitakubaliwa; wakati wa adhaan na wakati majeshi mawili yanapokutana vitani.”[1] Kati …

Soma Zaidi »

Watu Ambao Dua Zao Zinakubaliwa

Mtu Mgonjwa Umar (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Unapokutana na mgonjwa basi muombe akuombee dua, kwa sababu dua yake ni kama dua ya Malaika (yaani kwa ajili ya ugonjwa huo madhambi zake yamesamehewa, kwa hiyo anafanana na Malaika kwa kutokuwa na madhambi, na ndo maana dua …

Soma Zaidi »

Watu Ambao Dua Zao Zinakubaliwa

Wazazi, Wasafiri na Wenye Kudhulumiwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Dua tatu ni kwamba bila shaka zitakubaliwa; Dua ya baba (au mama kwa mtoto wao), Dua ya musaafir (msafiri) na dua ya mwenye kudhulumiwa.”[1] Mwenye Kufunga Na Imaamu Muadilifu Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Malaika Akimuombea Dua Anayemuombea Ndugu Yake Dua Abud Dardaa (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa akisema: “Dua anayoifanya Muislamu kwa ajili ya ndugu yake wakati hayupo inakubaliwa. Kila anapoomba dua kwa ajili ya wema ya ndugu yake, kuna Malaika ambaye amechaguliwa kusimama kichwani kwake. Malaika huyo husema …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Anayefanya Dua Siku zote Anafaidi Abu Sa’eed Khudri (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Muislamu yoyote akimuomba Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na kumnyenyekea, na dua yake haina dhambi yoyote (yaani kuomba jambo lolote lisiloruhusiwa) au kukata mahusiano ya kifamilia, Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) atamjaalia moja katika mambo …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Silaha Ya Muumini Ali (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema, “Dua ni silaha ya Muumini, nguzo ya Dini, na nuru ya mbingu na ardhi.”[1] Dua Ni Asili ya Ibaadah Anas (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Dua ndio asili ya ibaadah.”[2] Allah Ta’ala Hufurahishwa …

Soma Zaidi »

Dua

Dua ni njia ambayo mja huchota kutoka katika hazina zisizo na mipaka za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Kuna fadhila nyingi zilizoripotiwa ndani ya Hadith kwa wale wanao omba dua. Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema kwamba dua ni asili ya ibaadah zote.[1]  Katika Hadith nyingine, Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ametaja kuwa …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 5

10. Soma Sura Fatiha na Sura Ikhlaas kabla ya kulala. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “(Wakati wa kulala,) unapoweka ubavu wako juu ya kitanda, na ukasoma Sura Faatihah na Sura Ikhlaas, basi utasalimika na kila kitu isipokuwa kifo.”[1] 11. Soma Surah Zumar na Surah Bani …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 4

8. Soma Surah Kahf siku ya Ijuma. Ibnu Umar (radhiyallahu anhuma) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Surah Kahf siku ya ijuma, nuru (mwanga) hutoka chini ya miguu yake na kupanuka hadi kufika angani. Nuru hii itan’gaa siku ya Qiyaamah, na madhambi yake yote (madogo) atakayofanya katikati …

Soma Zaidi »