Imam Bayhaqi (rahimahullah) anasimulia: Wakati Yazid bin Abi Sufyan (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokuwa waziri wa Shaam, Waislamu walijishughulisha na Jihaad na kupata ushindi, na hivyo kuwa na ngawira. Miongoni mwa ngawira za vita alikuwemo mtumwa mrembo aliyejikuta kwenye milki ya mwanajeshi mmoja wa Kiislamu. Muda mfupi baada ya yule mwanajeshi …
Soma Zaidi »Yearly Archives: 2026
Sunna na Aadaab Za Kulala 4
14. Ukiona ndoto nzuri, basi sema Alhamdulillah. Unaweza kumsimulia mtu ambaye ana ujuzi katika tabiri za ndoto au kwa mtu ambaye ni mkutakia mema. Imepokewa kutoka kwa Abu Sa’eed Khudri (Radhiyallahu anhu) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Mmoja wenu akiona ndoto nzuri inayomfurahisha, basi ahesabu hiyo ndoto kuwa ni …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu