Salaam Kwa Nabii ﷺ

Kupata Thawabu Sabini

عن عبد الرحمن بن مريح الخولاني قال سمعت أبا قيس مولى عمرو بن العاص يقول: سمعت عبد الله بن عمرو يقول: من صلى على رسول الله صلى الله عليه وسلم صلاة صلى الله عليه وملائكته سبعين صلاة فليقل عبد من ذلك أو ليكثر (مسند أحمد، الرقم: ٦٦٠٥، وإسناده حسن وحكمه …

Soma Zaidi »

Kipato Cha Rehema Kubwa Za Allah Subhaana Wata’alah

عن ابن عمر وأبي هريرة رضي الله عنهما قالا قال رسول الله صلى الله عليه وسلم صلوا علي صلى الله عليكم (الكامل لابن عدي، الرقم: ١١٠٨٦، وإسناده ضعيف كما في التيسير للمناوي ٢/٩٣) Sayyidina Abdullah Bin Umar : (radhiyallahu ‘anhu) na Sayyidina Abu Hurairah : (radhiyallahu ‘anhu) wamesema kuwa Nabii …

Soma Zaidi »

Kupata Rehma Kumi

عن أبي هريرة أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: من صلى علي واحدة صلى الله عليه عشرا (صحيح مسلم،  الرقم: ٤٠٨) Sayyiduna Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Nabii (sallallahu ‘alaihi wassallam) amesema ” yoyote atakaye nitumia salaam mara moja, allah subhaana wata’alah atamtumia salaam (yaani atampa zawadi …

Soma Zaidi »

Bashara Nzuri Kutoka Kwa Allah( Subhaana Wata’alah) Kwa Wale Ambao Wanamsalia Mtume

عن عبد الرحمن بن عوف رضي الله عنه قال خرج رسول الله صلى الله عليه وسلم فاتبعته حتى دخل نخلا فسجد فأطال السجود حتى خفت أو خشيت أن يكون الله قد توفاه أو قبضه قال فجئت أنظر فرفع رأسه فقال ما لك يا عبد الرحمن قال فذكرت ذلك له فقال …

Soma Zaidi »

Kupata Rehma Kumi

Sayyiduna Abu Huraira (radhiyallahu 'anhu) ameripoti kuwa Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) amesema " yoyote atakaye nitumia salaam mara moja, allah subhaana wata'alah atamtumia salaam (yaani atampa zawadi na atamfariji na rehema zake) kwake mara kumi" 

Soma Zaidi »

Bashara Nzuri Kutoka Kwa Allah( Subhaana Wata’alah) Kwa Wale Ambao Wanamsalia Mtume

عن عبد الرحمن بن عوف رضي الله عنه قال خرج رسول الله صلى الله عليه وسلم فاتبعته حتى دخل نخلا فسجد فأطال السجود حتى خفت أو خشيت أن يكون الله قد توفاه أو قبضه قال فجئت أنظر فرفع رأسه فقال ما لك يا عبد الرحمن قال فذكرت ذلك له فقال …

Soma Zaidi »

Salaa na Salaam Tano za Imaam Shaafi’ee (rahimahullah)

Imetajwa kwamba baada ya kufariki Imaam Shaafi’ee (rahimahullah), mtu fulani alimuona katika ndoto na akamuuliza sababu ya kusamehewa na Allah Ta'ala. Imaam Shaafi’iee (rahimahullah) akajibu, “Ni kwa sababu ya salaa na salaam hizi tano juu ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kuzisoma kila usiku wa ijumaa (yaani usiku unaotangulia Ijumaa).

Soma Zaidi »

Kunywa kutoka kwa Howdh ya Kawthar ya Mustafa (sallallahu alaihi wasallam) na kikombe cha kipimo kamili

Hasan Basri (rahimahullah) ametaja, “Yoyote anayetaka kunywa kutoka kwa Howdh ya Kawthar (Sehemu Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) atawapa watu maji kunywa Siku ya Qiyaamah) ya Mustafa (sallallahu ‘alaihi wasallam) na kikombe cha kipimo kamili, basi amswalie Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kwa maneno yafuatayo: اَللّٰهُمَّ صَلِّ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَعَلٰى آلِهِ وَأَصْحَابِهِ …

Soma Zaidi »

Kutuma Salaa na Salaam juu ya Manabii (alayhi mus salaam) Wengine Pamoja na Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Anas (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah sallallahu alaihi wasallam alisema, “Jibreel (alayhis salaam) ametoka kwangu sasa hivi. Amekuja kunifahamisha kwamba Allah ta'ala amesema, ‘Hakuna Muislamu duniani anayetuma salaa na salaam juu yako (yaani juu ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)) mara moja, isipokuwa kwamba Mimi na Malaika Wangu tutamtumia salaa na salaam juu yake (yaani nammiminia rehema kumi na Malaika wangu wamwombee msamaha mara kumi) kwa hivyo niswalie mara nyingi siku ya ijumaa, na utakapo niswalia, basi tuma salamu kwa Manabii (alayhi mus salaam), kwa sababu mimi ni Nabii miongoni mwa Manabii (alayhi mus salaam).”

Soma Zaidi »

Kutuma Salaa na Salaam juu ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) pamoja na Manabii wengine

عن قتادة عن أنس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: إذا صليتم علي المرسلين فصلوا علي معهم فإني رسول من المرسلين ( الصلاة على النبي لابن أبي عاصم، الرقم: 69، وإسناده حسن جيد كما في القول البديع صـ 134) Imepokewa kutoka kwa Anas (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »