Sunna Na Adabu Za Ramadhaani 3

15. Kwenye mwezi wa ramadhaani, jaribu kuzidisha kwa wingi matendo mazuri. Imepokelewa katika hadith kwamba ibada yoyote ile ya nafili (matendo mazuri ya hiyari) yaliyofanyika katika mwezi wa ramadhaani, inamchumia mtu thawabu ya kitendo cha faradhi, na thawabu ya kitendo cha faradhi kilicho fanyika katika mwezi wa ramadhaani kinazidishwa mara sabini

Soma Zaidi »

Thawabu ya yule ambae anamswalia Nabii wa allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) pindi anapo sikia jina tukufu la Nabi wa allah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

Anas Bin Maalik (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba Nabii wa allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema, "mtu ambae jina langu limetajwa mbele yake anatakiwa atume salamu juu yangu, na kwa hakika yoyote ambae ananitumia salamu mara moja, Allah subhaana wata'alah atamtumia baraka kumi juu yake."

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Ramadhaani 2

8. Kwa ukaribio wa ramadhaani na pia kwenye ramadhaani, inabidi mtu asome dua ifuatayo

ewe Allah! Nilinde kwa ajili ya ramadhaani, (kwa kunifanya niuone mwezi wa ramadhaani nikiwa na afya na nguvu ili niweze kuchukuwa maximum faida ndani yake,) na nilindie mwezi wa ramadhaani (kwa kufanya ndani yake nipate maximum faida) na unikubalie.

Soma Zaidi »

Kutafuta wema kutoka kwa chanzo chake

Abu hurairah (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu alaihi wasallam) Amesema," yule ambae anasoma quraani tukufu, anamsifu Allah subhaana wata'alah anamswalia Nabii wa Allah (sallallahu alaihi wasallam) Na anaomba msamaha kutoka kwa mola wake basi ametafuta wema kutoka kwa chanzo ya kweli za wema(yaani: amefanya matendo ambayo ni chanzo za wema kwake)."

Soma Zaidi »

Kupata Thawabu Sabini

Abdullah Bin Amr Bin Aas (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti, "mtu yoyote atakaye mswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) mara moja, Allah subhaana wata'alah na malaika wake watamtumia rehema na baraka sabini juu yake kwa kumrudishia salaam yake ile ile moja. Baada ya hapo mtu yoyote atakae taka kuzidisha salaam zake azidishe, na yoyote atakae taka kupunguza hapunguze (yaani kama anataka kupata thawabu nyingi, basi azidishe salaam zake).

Soma Zaidi »

Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Tano

15. Fanya masaha ya masikio mara tatu na maji mengine. Pindi unapofanya masaha, tumia kidole cha shahada kufanya masaha ndani ya sikio na tumia kidole gumba kufanya masaha nje ya sikio (nyuma ya sikio). Baada ya hapo chukua maji mengine na ulowanishe kidole cha mwisho au kidole cha shahada. Alafu ingiza kidole cha mwisho au kidole cha shahada ndani ya sikio ili ufanye masaha ndani. Mwisho weka viganja vilivyolowa kwenye masikio.

Soma Zaidi »

Usaidizi Kwenye Daraja La Swirat

عن عبد الرحمن بن سمرة قال: خرج رسول الله صلى الله عليه وسلم فقال: …ورأيت رجلا من أمتي يزحف على الصراط مرة ويجثو مرة ويتعلق مرة فجاءته صلاته علي فأخذت بيده فأقامته على الصراط حتى جاوز… (الأحاديث الطوال للطبراني صـ ٢٧٣، وإسناده ضعيف كما في مجمع الزوائد، الرقم: ١١٧٦٤) Sayyidina …

Soma Zaidi »