Fadhila za Muaddhin

Adhaan ni miongoni mwa sifa muhimu za Deen za kiislaam. Uislamu umetoa heshima kubwa kwa wale wote ambao wanatoa adhaan, wakiita watu kuelekea kuswali. Siku ya qiyaamah, watu watawapongeza wale ambao walikuwa wakitoa adhaan ulimwenguni kwa sababu ya nafasi yao tukufu na hadhi ya juu aakhera. Hadithi nyingi zinataja fadhila …

Soma Zaidi »

Imani Kuhusu Ambiyaa (alaihimus salaam)

1. Allah subhaana wata’ala alituma ambiyaa wengi (alaihimus salaam) (manabii) ulimwenguni kuwaongoza wanadamu kwenye njia iliyonyooka.[1] 2. Utume hupewa na Allah subhaana wata’ala Allah subhaana wata’ala huchagua kutoka kwa waja wake yoyote yule anayetaka kwa kazi hii kubwa. Utume huwezi kupatikana na mtu yoyote kupitia matendo na juhudi zake mwenyewe.[2] …

Soma Zaidi »

Salaam Ya Umma Kumfikia Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

عن أبي هريرة قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم لا تجعلوا بيوتكم قبورا ولا تجعلوا قبري عيدا وصلوا علي فإن صلاتكم تبلغني حيث كنتم (سنن أبي داود، الرقم: 2042، وإسناده جيد كما في البدر المنير 5/290) Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Msiifanye …

Soma Zaidi »

Salaah na salaam kufikishwa kwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kupitia Malaika

Sayyidina Ibin  Abbas (radhiyallahu ‘anhuma) mara moja aliwahi kutaja yafuatayo, "hakuna mtu kutoka kwa umma wa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) ambaye hutuma salaah na salaam juu ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) isipokuwa kwamba anafikishiwa kwake (kupitia malaika) na anaambiwa, "fulani na fulani amekuswalia ,na fulani na fulani ametuma salaam juu yako.

Soma Zaidi »

Imani kumhusu Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

4. Allah subhaana wata’ala alikuwa amembariki Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) na vyeo vya juu ikilinganishwa na wengine. Kutokana na matokeo yote na manabii (sallallahu ‘alaihi wasallam) ambao walikuja ulimwenguni, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa mkuu kwa kiwango na aliyependwa zaidi kwa Allah subhaana wata’ala Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alibarikiwa na …

Soma Zaidi »

Malaika ambaye amesimama kwenye kaburi la baraka la Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kufikisha salaam za ummah

عن عمار بن ياسر رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه و سلم إن الله وكل بقبري ملكا أعطاه الله أسماء الخلائق وفي رواية أسماع الخلائق  فلا يصلي علي أحد إلى يوم القيامة إلا أبلغني باسمه واسم أبيه هذا فلان بن فلان قد صلى عليك – (رواه …

Soma Zaidi »

Adhaan – Ilivyo anzishwa na asili yake

Wakati sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alifanya hijra (alihamia) kwenda madina munawwarah, aliwasiliana na maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) Kuhusu njia itakayochukuliwa ya kuwaita watu kwenye swala. Ilikuwa hamu iliyokuwa ndani ya moyo wa sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwamba maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) wote wakusanyike na kutekeleza swala zao pamoja msikitini. Sayyidina …

Soma Zaidi »

Imani kumhusu Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

1. Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Ni Nabii wa mwisho na muhuri wa utume wote. Baada yake, hakuna Nabii mpya atakayetumwa ulimwenguni kuongoza taifa lolote. Ikiwa mtu yoyote anaamini kwamba kuna mjumbe mpya atakayekuja baada ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam), atakuwa kafiri na atatoka kwenye Uislamu. 2. Deen ya kiislaam ambaye …

Soma Zaidi »

Malaika wanasafiri duniani kukusanya salaam.

Abdullah Bin Ma'sood (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Kasema, "hakika, Allah subhaana wata'ala ana kundi la malaika wanaotangatanga (kote ulimwenguni ili waweze kutafuta mikusanyiko ya watu wakimswalia Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)) na kufikisha salaam za umma wangu kwangu."

Soma Zaidi »

Nyakati ambazo miswaak inapaswa kutumiwa

7. Wakati mtu anahisi maumivu ya kifo (sakaraatul maut). عن عائشة رضي الله عنها قالت دخل عبد الرحمن بن أبي بكر ومعه سواك يستن به فنظر إليه رسول الله صلى الله عليه وسلم فقلت له أعطني هذا السواك يا عبد الرحمن فأعطانيه فقصمته (وفي رواية وطيبته) ثم مضغته فأعطيته رسول …

Soma Zaidi »