admin

Kusherekea Siku Ya Valentine

Swali: Je, inajuzu kwa Muislamu kusherekea siku ya Valentine? Jibu: kusherekea siku ya valentine ni desturi ya makafiri na ni sehemu ya utamaduni wa makafiri. Tumeamrishwa katika hadithi mubaraka kujiepusha na kuwaiga makafiri katika mila na utamaduni wao. Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “yoyote atakae iga watu Dubai atakuwa miongoni …

Soma Zaidi »

Surah ya Teen

وَالتِّينِ وَالزَّيْتُونِ ﴿١﴾ وَطُورِ سِينِينَ ﴿٢﴾ وَهَـٰذَا الْبَلَدِ الْأَمِينِ ﴿٣﴾ لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ فِي أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ ﴿٤﴾ ثُمَّ رَدَدْنَاهُ أَسْفَلَ سَافِلِينَ ﴿٥﴾ إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ ﴿٦﴾ فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِالدِّينِ ﴿٧﴾ أَلَيْسَ اللّٰـهُ بِاَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ ﴿٨﴾ Na aapa kwa mtini na mzeituni; na kwa Mlima wa …

Soma Zaidi »

Kupata Dua ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwa kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) katika siku ya Ijumaa

عن عمر بن الخطاب رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: أكثروا الصلاة علي في الليلة الزهراء واليوم الأغر فإن صلاتكم تعرض علي فأدعو لكم وأستغفر (القربة لابن بشكوال، الرقم: 107، وسنده ضعيف كما في القول البديع صـ 335) Umar Bin Khattaab (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba …

Soma Zaidi »

Fadhila Kubwa za Kumswalia Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwenye siku ya Ijumaah

عن أوس بن أوس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: إن من أفضل أيامكم يوم الجمعة فيه خلق آدم وفيه قبض وفيه النفخة وفيه الصعقة فأكثروا علي من الصلاة فيه فإن صلاتكم معروضة علي قال: قالوا: يا رسول الله وكيف تعرض صلاتنا عليك وقد أرمت يقولون بليت فقال: …

Soma Zaidi »

Dua baada ya Adhaan 2

2. Baada ya kusoma dua ya adhaan, dua ifuatayo inapaswa pia isomwe: أَشْهَدُ أَنْ لَّا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيْكَ لَهُ وَأَنَّ مُحَمَّدًا عَبْدُهُ وَرَسُوْلُهُ رَضِيْتُ بِاللهِ رَبًّا وَبِمُحَمَّدٍ رَسُوْلًا وَبِالْإِسْلَامِ دِيْنًا Nashuhudia kwamba hakuna mungu ila Allah subhaana wata’ala aliye peke na hana mshirika, na Sayyidina Muhammad (sallallahu …

Soma Zaidi »

Tafseer ya Sura Alam Nashrah

أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ ﴿١﴾ وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ ﴿٢﴾ الَّذِي أَنقَضَ ظَهْرَكَ ﴿٣﴾وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ ﴿٤﴾ فَإِنَّ مَعَ الْعُسْرِ يُسْرًا ﴿٥﴾ إِنَّ مَعَ الْعُسْرِ يُسْرًا ﴿٦﴾ فَإِذَا فَرَغْتَ فَانصَبْ ﴿٧﴾ وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَارْغَب. Je! hatukukupanulia kifua chako, na tukakuondolea mzigo wako ambao ungeliweza kukuvunja mgongo wako. Na tumelitukuza utukufu wako …

Soma Zaidi »

Kuzidisha kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwenye siku ya Ijumaah

عن أبي هريرة رضي الله عنه قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : أكثروا الصلاة علي في الليلة الزهراء واليوم الأغر فإن صلاتكم تعرض علي (المعجم الاوسط للطبراني وسنده ضعيف لكن يتقوى بشواهده كما في القول البديع صـ 325) Abu Hurayrah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Dua baada ya Adhaan

1. Baada ya adhaan, mtu anatakiwa amswalie nabi wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) na baada ya hapo asome dua ifuatayo:[1] اَللّٰهُمَّ رَبَّ هٰذِهِ الدَّعْوَةِ التَّامَّةِ وَالصَّلَاةِ الْقَائِمَةِ آتِ مُحَمَّدًانِ الْوَسِيْلَةَ وَالْفَضِيْلَةَ وَابْعَثْهُ مَقَامًا مَّحْمُوْدًانِ الَّذِيْ وَعَدْتَّهُ إِنَّكَ لَاتُخْلِفُ الْمِيْعَادْ Ewe Allah, Mola wa wito huu mkamilifu na ulio thibiti Swalaah, …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabi wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Wakati wa Kuamka kwa ajili ya Swala ya Tahajjud.

عن سيدنا عبد الله بن مسعود قال: يضحك الله إلى رجلين رجل لقي العدو وهو على فرس من أمثل خيل أصحابه فانهزموا وثبت فإن قتل استشهد وان بقي فذلك الذي يضحك الله إليه ورجل قام في جوف الليل لا يعلم به أحد فتوضأ فأسبغ الوضوء ثم حمد الله ومجده وصلى …

Soma Zaidi »

Kuitikia Adhaan

Adhaan ni miongoni mwa alama kuu za kiislamu. Wakati adhaan ina umuhimu mkubwa katika Dini, basi tunapaswa kuonyesha heshima kwa adhaan kwa kuijibu na kutojishughulisha pindi inapotolewa na mazungumzo yoyote ya kidunia. Fuqahaa wameandika kuwa ndivyo si sahihi kujihusisha na mazungumzo ya kidunia wakati wa adhana.[1] 1. Ukisikia adhaan, jibu …

Soma Zaidi »