15. Wakati wa safari, ikiwa kuna hali ya usumbufu imejitokeza, basi fanya subira. Usikasirike wala usiwe mfidhuli, na hivyo kusababisha maumivu na usumbufu kwa wengine. 16. Tumia mbinu ya upole unaposhughulika na swahiba zako na kushiriki katika majadiliano ya urafiki na kucheka safarini. Usichukue mbinu ya kuwa mkali. 17. Usifunge …
Soma Zaidi »Maisha ya Nabii Isa (alayhis salaam) baada ya kurejea kwake na Baraka Kubwa na Usalama katika zama zake
Nabii Isa (‘alayhis salaam) atakaporejea duniani, Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) atakuwa kiongozi anayewaongoza Waislamu. Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) atamwambia Nabii Isa (‘alaihis salaam) kwamba awaongoze Waislamu, kwa sababu yeye ni Nabii wa Allah Ta‘ala. (Ibnu Hibbaan #6812, Fitan li-Nu’aim #1028) Wanajeshi ya Waislamu, chini ya uongozi wa Nabii Isa (‘alayhis …
Soma Zaidi »Ubaya wa Kupiga Picha
Wakati mmoja, wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa safarini, Aaishah (Radhiyallahu anha) alininginiza pazia lenye picha za vitu vya uhai kwenye mlango. Wakati huo, Aaishah (Radhiyallahu anha) hakuwa na habari kwamba picha za vitu vya uhai zimeharamishwa. Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alipofika nyumbani kwake na macho yake yakaangukia kwenye pazia, …
Soma Zaidi »Abdullah bin Abbaas Akishinda pamoja na Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) usiku ili ajifunze swalah ya Tahajjud ya Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)
Mjomba wake Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam), ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu), alitamani mtoto wake Abdullah bin ‘Abbaas (Radhiyallahu ‘anhuma) ashinde na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) usiku ili afaidike na ushirika wake uliobarikiwa. Katika riwaya ya Muslim na Tahaawi, Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) anataja kwamba baba yake, Abbaas (Radhiya Allaahu …
Soma Zaidi »Sunna Na Adabu Kusafiri 3
10. Waudumie watu vizuri wakati wa safari. Sahl bin Sa’d (radhiyallahu anhu) anasema kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alisema: “Kiongozi wa watu safarini ni yule anayewahudumia (yaani kiongozi awatumikie watu wake, au yule anayetumikia wengine aheshimiwe kama kiongozi, ingawa anaonekana kuwa mtumishi kwa kuwatumikia wengine). Yule anayewapita wengine kwa kuwatumikia …
Soma Zaidi »Nasaha ya Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma)
Wahab bin Munabbih (rahimahullah) anasema: Baada ya Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) kuwa kipofu (katika uzee wake), niliwahi kumuongoza kwenye Haram huko Makka Mukarramah, ambapo alisikia kundi la watu wakizozana wao kwa wao. Akaniomba nimuongoze kwao. Alipofika kwao, aliwasalimia kwa “Assalaamu Alaikum”. Walimuomba akaye lakini akakataa na akasema: Je! …
Soma Zaidi »Sunna Na Adabu Kusafiri 2
8. Unaposafiri, hakikisha kwamba unabaki katika kundi la watu wema. Kubaki katika kundi la wachamungu kutakupa muhamasisho wa kubaki kwenye haki. 9. Ikiwa unasafiri katika kikundi, basi uwe na adabu na heshima katika mwenendo wako, na ikiwa una riziki za kutosha, basi gawa riziki yako na wenzako. Abu Sa’id (radhiyallahu …
Soma Zaidi »Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) Akimuona Jibril (alaihis salaam)
Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) anataja kwamba siku moja alikuwa na baba yake kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akijadiliana na mtu kwa siri. Kwa vile Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akiongea na mtu huyo, mgongo wake ulielekezwa kwa Abbaas (Radhiya Allaahu ́anhuma) na …
Soma Zaidi »Siku ya Qiyaamah – Siku ya Majuto kwa Wengi
Ndani ya Quran Majeed, Siku ya Qiyaamah imetajwa na majina mbalimbali. Baadhi ya majina hayo ni “Siku ya Malipo”, “Siku ya Kukusanywa”, “Siku ya Hasara na Faida” (yaani hasara kwa makafiri na faida kwa waumini), na “Siku ya Mkutano” (yaani kukutana na Allah Ta‘ala). Tunapochunguza majina haya, tunaelewa kwamba kila …
Soma Zaidi »Elimu Kuu ya Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma)
Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) anasema: Baada ya kifo cha Mtume (Sallallahu alaihi wasallam), nilimwambia mmoja wa marafiki zangu wa Answaari, “Njoo twende tukajifunze (elimu ya Dini) kutoka kwa maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum), na wengi wao bado wako miongoni mwetu.” Akaniambia, “Ewe Ibnu Abbaas! Naapa kwa Mwenyezi Mungu, ninashangaa …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu