Sahaabah

Ushujaa wa Ali (Radhiyallahu ‘anhu) katika Uhud

Wakati wa vita vya Uhud, Maswahabah (radhiya Allaahu ‘anhum) walishambuliwa na makafiri na wengi kuuawa. Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) alizungukwa na maadui na alipata majeraha kadhaa. Wakati huo, uvumi ulianza kuenea kwamba Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) ameuawa. Kusikia uvumi huu wa uongo, wengi wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walipoteza utulivu …

Soma Zaidi »

Talhah (radhiyallahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud.

Zubair bin Awwaam (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba katika tukio la Uhud, Rasulullah (sallallaahu ‘alaihi wasallam) alikuwa amevaa silaha mbili. Wakati wa vita, Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) alikusudia kupanda juu ya jabali lakini kutokana na uzito wa zile silaha mbili, hakuweza kufanya hivyo. Kwa hiyo alimwomba Talhah (radhiyallahu ‘anhu) kukaa chini …

Soma Zaidi »

Mapenzi Makubwa ya Maswahaba (radhiyallahu ‘anhum) kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Siku moja, mtu mmoja alikuja kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) na akasema: “Ewe Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) mapenzi yangu kwako ni kwamba ninapokufikiria wewe huzidiwa na mapenzi yako, kiasi kwamba sipati kuridhika mpaka nikuone. Ewe Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam), mawazo yananipitia moyoni mwangu kwamba ikiwa Allah ta’ala atanijaalia Pepo, itakuwa …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya swahaba mmoja kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Swahaba mmoja siku moja alikuja kwa Nabii wa Allah sallallahu alaihi wasallam na kumuuliza, “Ewe! Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) ni lini siku ya Qiyaamah?” Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akajibu, “Umefanya maandalizi gani? kwa siku hiyo?” huyu swahaba akasema, “Ewe Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam), sidai kuwa nina Swalaah nyingi, saumu na …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya Zaid bin Dathinah (radhiyallahu ‘anhu) kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Makafiri walipokaribia kumuuwa sahabi mkubwa, Zaid bin Dathinah (radhiyallahu ‘anhu), wakamuuliza, “Je, ungekuwa na furaha zaidi kama Muhammad (sallallahu alaihi wasallam) angekuwa katika nafasi yako na ukaachwa huru kuwa pamoja na familia yako?” Jibu lake la papo kwa papo lilikuwa, “Wallahi, siwezi hata kustahimili kuwa nimekaa kwa raha na familia …

Soma Zaidi »

Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) anapoteza Meno Yake

Wakati wa vita vya Uhud, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa ameumizwa vibaya sana na adui na vipande viwili vya kofia yake vikapenya kwenye uso wake wa mubarak. Abu Bakr Siddiq (radhiyallahu ‘anhu) na Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) mara moja wakakimbia na kumsaidia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »

Ujumbe wa Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) kwa Waislamu

Wakati wa vita vya Uhud, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) aliuliza, “Sa’d bin Rabee yuko wapi? Sijui hali yake.” Baada ya hapo, mmoja wa Maswahaba (radhiyallahu ‘anhum) alitumwa kumtafuta. Alikwenda hadi mahali ambapo miili ya mashahidi zilikuwepo. Alipaza sauti kwa jina la Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) kuona kama yupo hai. Mahali fulani …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya ‘Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwa Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam)

Usiku ule Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) anatoka kwenda kuhijiria kwenda Madinah Munawwarah, makafiri walikuwa wameizunguka nyumba yake ili wamuue. Kabla ya kuondoka, Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) alimuagiza ‘Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) kulala nyumbani kwake ili makafiri wafikirie kuwa Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) bado yuko ndani na hawatatambua kuwa alikuwa ameondoka. …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Katika tukiyo la Hudaybiyah, Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) alikuwa ameamrishwa na Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kujadiliana na Maquraishi huko Makka Mukarramah. Wakati Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) alikuwa ameondoka kwenda Makka Mukarramah, baadhi ya Maswahaba walimwonea wivu Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) kwa kuweza kufanya tawaaf ya Nyumba ya Allah subhaana wata’ala Kwa upande mwingine, …

Soma Zaidi »