Aslam (rahimahullah), mtumwa wa Umar (radhiyallahu ‘anhu), anaripoti kwamba Umar (radhiyallahu ‘anhu) alikuwa na sahani tisa maalum zilizohifadhiwa kwa ajili ya kutuma zawadi kwa Azwaaj-ul-Mutahharaat (wakezake na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) na mama wa ummah. Aslam (rahimahullah) alitaja kwamba wakati wowote chakula kizuri, tunda au nyama inapomjia Umar (radhiya allaahu …
Soma Zaidi »Umar (radhiyallahu ‘anhu) Akijikumbusha Na Kuhesabiwa Huko Akhera
Licha ya Allah Ta’ala kumbariki Umar (radhiyallahu ‘anhu) kuwa miongoni mwa watu kumi walioahidiwa Jannah hapa duniani, na kuwa khalifa wa pili wa Uislamu, alikuwa mnyenyekevu mno na aliogopa sana kuwajibika mbele ya Allah Ta’ala Siku ya Qiyaamah. Imeripotiwa kwamba wakati mmoja, Umar (radhiyallahu ‘anhu) aliingia kwenye shamba fulani la …
Soma Zaidi »Ali (radhiyallahu ‘anhu) Anatamani Kukutana na Allah Ta’ala akiwa na Vitendo vya Umar (radhiyallahu ‘anhu)
Ali (radhiyallahu ‘anhu) Anatamani Kukutana na Allah Ta’ala akiwa na Vitendo vya UmarAbdullah bin Abbaas (radhiya allaahu ‘anhuma) anataja: Nilikuwepo wakati mwili wa Umar (radhiya allaahu ‘anhu) ulipowekwa kwenye jeneza baada ya kifo chake cha kishahidi. Watu walianza kuuzunguka mwili wake. Wakati wakisubiri mwili wake unyanyuliwe na kuzikwa, walikuwa wakimswalia …
Soma Zaidi »Furaha Ya Umar (Radhiyallaahu ‘anhu)
Umar (Radhiyallaahu ‘anhu) aliwahi kumwambia Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) (mjomba wa Rasulullah sallallahu ‘alaihi wasallam)) “nilikuwa na furaha zaidi na Uislamu waku kuliko Uislamu wa baba yangu, kwa sababu Uislamu wako ulileta furaha zaidi kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) kuliko Uislamu wa baba yangu.” (Sharhu Ma’aanil Aathaar 3/321)
Soma Zaidi »Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akimtetea Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)
Katika tukio moja, wakati Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) akiwa akiswali pembeni ya Ka’bah Sharifu, Uqbah bin Abi Mu’ait, mmoja wa viongozi waovu sana wa Maquraish, alimwendea kwa nia mbaya ya kumdhuru Alipokuja kwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam), Uqbah alimvua kitamba chake, akaiweka shingoni mwake na akaanza kumnyonga nayo bila huruma. …
Soma Zaidi »Abu Bakr – Ni Mfani Halisi wa Wema na Huruma
Wakati mmoja, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliuliza kutoka kwa Maswahabah (radhiya allaahu ‘anhum), “Ni nani miongoni mwenu anafunga leo?” Abu Bakr (radhiya allaahu ‘anhu) akajibu: “Mimi Nimefunga leo.” Nabi (sallallahu ‘alaihi wasallam) akauliza: “Ni nani miongoni mwenu aliyemtembelea mgonjwa leo? Abu Bakr (radhiya allaahu ‘anhu) akajibu, “Mimi Nimemtembelea mgonjwa leo. …
Soma Zaidi »Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa tayari kutoa kila kitu kwa ajili ya Rasulullah (Sallallahu’alaihi wasallam)
Wakati wa vita vya Badr, mtoto wa Abu Bakr Siddeeq (radhiya Allaahu ‘anhu), Abdur Rahmaan (Radhiyallahu ‘anhu), alipigana upande wa makafiri kwa vile alikuwa bado hajaukubali Uislamu. Baadaye, baada ya kusilimu, akiwa amekaa pamoja na baba yake, Abu Bakr Siddeeq (Radhiya Allaahu ‘anhu), alisema, “Ewe baba yangu kipenzi, wakati wa …
Soma Zaidi »Mapenzi ya Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) Yanaendana na Mapenzi ya Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)
Baada ya baba yake Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) kusilimu, Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) alizungumza na Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akisema: “Nakula kiapo kwa Yule aliye kuusieni haki! Ingawa nina furaha sana kuwa baba yangu amesilimu, furaha ambayo ningeipata kama mjomba wako, Abu Taalib, angesilimu, ingekuwa kubwa zaidi kuliko …
Soma Zaidi »Abu Bakr (radhiyallahu ‘anhu) Akimhudumia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)
Abu Bakr Siddeeq (radhiyallahu ‘anhu) anaeleza kuhusu safari ya Hijrah pamoja na Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam). Tulisafiri kwa haraka mchana na usiku mzima hadi joto la jioni likawa kali. Basi nilikuta barabara ni tupu na hakuna mtu anayetembea juu yake. Nilitazama mbele ili kuona kama ningeweza kupata kivuli chochote …
Soma Zaidi »Heshima ya Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na Mapenzi ya Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) Kwake
Katika tukio la Fath-ul-Makkah Mukarramah (ushindi wa Makka Mukarramah), Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) alimleta baba yake, Abu Quhaafah, kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ili asilimu. Wakati huo, Abu Quhaafah alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 90 na alikuwa amepoteza uwezo wake wa kuona. Walipofika kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi …
Soma Zaidi »