Baada ya baba yake Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) kusilimu, Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) alizungumza na Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akisema: “Nakula kiapo kwa Yule aliye kuusieni haki! Ingawa nina furaha sana kuwa baba yangu amesilimu, furaha ambayo ningeipata kama mjomba wako, Abu Taalib, angesilimu, ingekuwa kubwa zaidi kuliko …
Soma Zaidi »Abu Bakr (radhiyallahu ‘anhu) Akimhudumia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)
Abu Bakr Siddeeq (radhiyallahu ‘anhu) anaeleza kuhusu safari ya Hijrah pamoja na Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam). Tulisafiri kwa haraka mchana na usiku mzima hadi joto la jioni likawa kali. Basi nilikuta barabara ni tupu na hakuna mtu anayetembea juu yake. Nilitazama mbele ili kuona kama ningeweza kupata kivuli chochote …
Soma Zaidi »Heshima ya Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na Mapenzi ya Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) Kwake
Katika tukio la Fath-ul-Makkah Mukarramah (ushindi wa Makka Mukarramah), Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) alimleta baba yake, Abu Quhaafah, kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ili asilimu. Wakati huo, Abu Quhaafah alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 90 na alikuwa amepoteza uwezo wake wa kuona. Walipofika kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi …
Soma Zaidi »Mtu Bora Katika Ummah Huu
Abu Dardaa (Radhiya Allaahu ‘anhu) ametaja: “Siku moja, Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) aliniona nikitembea mbele ya Abu Bakr (Radhiyallahu ‘anhu). “Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alipoona hili, aliniambia: “Usitembee mbele ya aliye bora kuliko wewe (yaani Abu Bakr (Radhiya Allaahu anhu)” Baada ya hapo Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akaeleza fadhila kubwa …
Soma Zaidi »Sayyidina Abu Bakr Siddiq (radhiyallahu ‘anhu) Katika Pango la Thaur
Wakiwa ndani ya pango katika safari ya hijrah, imepokelewa kuwa Abu Bakr Siddiq (radhiyallahu ‘anhu) alikuwa na wasiwasi kwamba asitokee mdudu yeyote kwenye shimo lolote ndani ya pango na kumdhuru Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Kwa hivyo, alianza kufunika shimo zote ndani ya pango kwa kutumia vipande vya nguo yake ya …
Soma Zaidi »Abu Bakr (radhiyallahu ‘anhu) akijitolea Mali yake Kwa Sababu ya Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)
Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Hakuna mali ya mtu iliyoninufaisha zaidi kama mali ya Abu Bakr (radhiyallahu’anhu). Aliposikia hivyo, Abu Bakr (radhiyallahu ‘anhu) akaanza kulia na kusema, “Mali yangu yote na mimi pia ni wa kwako, Ewe Nabi Wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam)! Katika …
Soma Zaidi »Upendo wa Anas bin Nadhr (radhiyallahu ‘anhu) kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) na kuwa kwake shahidi katika vita vya Uhud
Wakati Waislamu walipokuwa wanazidiwa katika vita vya Uhud, habari za uongo zilianza kuenea kwamba Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) ameuwawa. Hii habari zilisababisha wengi wa Maswahaba (radhiyallahu ‘anhum) kukata tamaa na kupoteza moyo. Anas bin Nadhr (radhiyallahu ‘anhu) alitokea kumuona Umar (radhiyallahu ‘anhu) na Talhah (radhiyallahu ‘anhu) pamoja na kundi la …
Soma Zaidi »Ansaari anabomoa jengo mpaka chini
Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikuwa akipitia barabara ya Madinah Munawwarah alipoona jengo likubwa. Akauliza kutoka kwa Swahaabah, “Ni nini hiki?” Wakamjulisha kwamba lilikuwa ni jengo jipya lililojengwa na Ansaari mmoja. Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akakaa kimya. Wakati mwingine, Ansaari yule aliyojenga nyumba hiyo alikuja kwa Rasulullah (sallallahu alaihi …
Soma Zaidi »Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa kwenye kitanda chake cha Kifo
Wakati Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia kufariki, mkewe alianza kusema, “Ah, huzuni iliyoje! Unaondoka katika ulimwengu huu!” Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu: “Inapendeza nani furaha iliyoje kwamba kesho tutakutana na marafiki zetu, tutakutana na Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na maswahaba zake.
Soma Zaidi »Maswahaba wakijitolea kwa ajili ya Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam)
Nyumba ya Faatimah (radhiyallahu ‘anha) ilikuwa mbali na nyumba ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) siku moja alimwambia: “Ni matamanio yangu kwamba uishi karibu nami.” Faatimah (radhiyallahu ‘anha) akajibu, “Nyumba ya Haarithah iko karibu na nyumba yako. Ukimwomba abadilishe nyumba yake na yangu, atakubali kwa furaha.” Rasulullah …
Soma Zaidi »