1. Elekea kibla. 2. Weka miguu pamoja au karibu iwezekanavyo. Hakikisha kwamba miguu inaelekea kibla. 3. Baada ya hapo, weka nia ya Swalaah unayoswali na inua mikono yako mpaka vidole gumba viwe sawa sawa na ncha za masikio na ncha za vidole vyako viwe sawa sawa na sehemu ya juu …
Soma Zaidi »Fadhila Za Kusoma Quran Takatifu 2
Allah Ta’ala Anamsikiliza Mwenye Kusoma kwa Furaha Nyingi Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) hasikilizi chochote (kwa furaha nyingi) kama vile Akimsikiliza Nabii yoyote kwa sauti nzuri yenye kupendeza akisoma Qur’an Takatifu kwa sauti.”[1] Dua Zikijibiwa Katika Kuhitimu Quran …
Soma Zaidi »Kabla ya Swalaah
1. Uangalifu hasa unapaswa kuchukuliwa ili kuvaa vizuri kwa ajili ya swalah. Mwanamke anapaswa kuvaa mavazi ambayo yataficha mwili wake wote na nywele. Ni kinyume na adabu kwake kuvaa nguo za kujibana zinazoonyesha umbo la mwili wake au kuvaa mavazi laini, dhaifu ambayo viungo halisi vinaweza kuonekana. Ikiwa nguo ina …
Soma Zaidi »Fadhila Za Kusoma Quran Takatifu
Nuru Duniani na Hazina ya Akhera Abu dharr (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti, “Wakati fulani nilimuuliza Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), ‘Ewe Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), tafadhali naomba unipe nasaha. Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) akasema, ‘Shikilia na Taqwa kwa uthabiti, kwa sababu ni kichwa cha matendo yote’ (yaani kitendo kikubwa ilio juu kuliko …
Soma Zaidi »Kauli ya Imaam Shaafi’ee (rahimahullah)
Imaam Shaafi’ee (rahimahullah) ameandika katika Ikhtilaaful Hadith: Hatujui hata mmoja wa wake wa Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kuondoka majumbani mwao kwenda kuhudhuria Swalaah ya Ijumuah au Swalaah nyingine yoyote msikitini, ingawa wake zake , kwa kuangalia nafasi zao maalum na uhusiano wao na Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam), wangekuwa …
Soma Zaidi »Matamanio ya Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kuhusu Wanawake Kuswali ndani ya Nyumba zao
Ingawa ilikuwa ni matamanio ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwamba watu wa Ummah wake waswali na jamaah msikitini, ilikuwa ni matamanio yake pia kwamba wanawake wa Ummah wake watimize Swalaah zao ndani ya mipaka ya nyumba zao. Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliwahimiza wanawake kuswali ndani ya nyumba zao na …
Soma Zaidi »Swalah Ya Wanawake
Kila kipengele cha dini ya Kiislamu kinachohusiana na wanawake vimeengemezwa na unyenyekevu na aibu. Ni katika suala hili ndipo Uislamu unawaamrisha wanawake kubaki ndani ya mipaka ya nyumba zao, wakiwa wamejificha kabisa machoni kwa wanaume, na wasitoke majumbani mwao bila ya haja halali ya Sharia. Namna ambayo mwanamke ameamrishwa kuswali …
Soma Zaidi »Qa’dah and Salaam
9. Usiinamishe au kutikisa kichwa wakati wa kutoa salaam. 10. Geuza uso wako pande zote mbili kwa kiasi ambacho mtu aliye nyuma ataweza kuona shavu lako.[1] 11. Baada ya salamu, soma اَسْتَغْفِرُ الله mara tatu.[2] 12. Shiriki katika dua kwa sababu huu ni wakati wa kukubaliwa dua.[2] 13. Soma Tasbih …
Soma Zaidi »Ulinzi Ndani Ya Kaburi
Zaidi ya hayo, imeripotiwa kwamba mtu ambaye ameshikamana na Qur-aan Tukufu anapofariki, kabla ya kuzikwa, wakati familia yake bado inashughulika na ibada ya mazishi yake, Qur-aan Tukufu humjia ikiwa na sura nzuri na kusimama kwenye upande wa kichwa chake, kumlinda na kumfariji mpaka avikwe na sanda. Kisha Quraan Tukufu itaingia …
Soma Zaidi »Qa’dah na Salaam
7. Ikiwa ni qa’dah ya mwisho, basi soma tashahhud, Swalawaat Ebrahimiyyah na baada ya hapo fanya dua.[1] Swalawaat Ibrahimiyyah ni ifuatavyo:[2] اَللّٰهُمَّ صَلِّ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا صَلَّيْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ وَبَارِكْ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا بَارَكْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ فِيْ الْعَالَمِيْنَ …
Soma Zaidi »