9. Fanya udhu uliyo kamilika.
Sayyidatuna Aaisha (radhiyallahu anha) ameripoti kwamba pindi Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) alikuwa akitaka kufanya ghusl ya fardh, alikuwa akianza kwa kuosha mikono yake ya barakah kabla ya kuziingiza ndani ya kopo la maji. Alafu alikuwa akiosha sehemu zake za siri na kufanya udhu , kama jinsi anavyofanya udhu wa swala."
Soma Zaidi »