August 8, 2022	
	Sunna na Adabu Za Musjid
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			14. Hakikisha unazima simu yako ya mkononi unapoingia msikitini ili isilete usumbufu kwa wale wenye
kujishughulisha na kuswali na ibaadaah zingine.
15. Usipige picha au kutengeneza video ukiwa msikitini. Kupiga picha au kutengeneza video za vitu vilivyo hai ni haraam katika Uislamu, na kufanya hivyo katika msikitini ni dhambi kubwa zaidi.
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	August 1, 2022	
	Sunna na Adabu Za Musjid
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			13. Usipaze sauti yako au kufanya kelele ndani ya msikiti na katika eneo linalozunguka musjid.[1] عن السائب بن يزيد رضي الله عنه قال كنت نائما في المسجد فحصبني رجل فنظرت فإذا عمر بن الخطاب رضي الله عنه فقال اذهب فأتني بهذين فجئته بهما فقال ممن أنتما أو من أين أنتما …
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	July 25, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu Za Musjid
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			9. Fanya niya ya nafil i'tikaaf kwa ajili ya kuwa utakaa msikitini.
10. Swali rakaa mbili za tahiyyatul masjid ukiingia msikitini.
Sayyidina Abu Qataadah (radhiyallahu ‘anhu) amesema kuwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alisema, "pindi mmoja wenu atakapo ingia msikitini, anatakiwa kuswali rakaa mbili za swala kabla ya kukaa,"
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	July 18, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu Za Musjid
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			7. Ingia msikitini kwa mguu wa kulia.
Imepokewa kwamba Sayyidina Anas (radhiyallahu ‘anhu) amesema, “Imetoka kwenye Sunna kwamba unapoingia msikitini uingie kwa mguu wako wa kulia, na unapotoka msikitini utoke kwa mguu wako wa kushoto.
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	July 6, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu za Kuchinja
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			18. Mtu asianze kumchuna mnyama huyo mpaka kusiwe na dalili ya uhai iliyosalia katika mwili. 19. Wakati wa kuchinja mtu asome tasmiyah kwa namna ifuatayo: بِسمِ اللهِ اللهُ أكْبَر Kwa jina la Allah Ta’ala, na Allah Ta’ala ndiye mkubwa zaidi. 20. Kabla ya kuchinja ni sunna kwa mtu kusoma dua …
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	July 4, 2022	
	Sunna na Adabu za Kuchinja
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			11. Ikiwa mtu ana uwezo, ni bora kwake kuchinja mnyama mwenyewe. Ikiwa hili haliwezekani, basi angalau ashuhudie mnyama wake akichinjwa, mradi tu hijaab inazingatiwa kati ya wanaume na wanawake (yaani kuingiliana kusifanyike). عن علي رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه و سلم قال يا فاطمة قومي فاشهدي …
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	June 27, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu za Kuchinja
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			6. Ni sunna kwa mtu kujiepusha na kula chochote asubuhi wa Idul Adha (idi kubwa) mpaka arudi kutoka katika swala ya Idi. عن ابن بريدة عن أبيه رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه و سلم كان لا يخرج يوم الفطر حتى يأكل . وكان لا يأكل يوم …
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	June 20, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu za Kuchinja
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			1. Kuchinja ni ibaada kubwa na yenye thawabu nyingi katika Dini. Ndani ya Qur-aan Tukufu, kumetajwa kuhusu ibaada ya Kuchinja, na fadhila zake nyingi na umuhimu wake umesisitizwa katika Hadithi ya  Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam). Allah Ta’ala Anasema: لَن يَنَالَ اللَّـهَ لُحُومُهَا وَلَا دِمَاؤُهَا وَلَـٰكِن يَنَالُهُ التَّقْوَىٰ مِنكُمْ Si nyama …
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	June 4, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu Za Musjid
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			6. Soma dua za masnoon unapoelekea msikitini. Baadhi ya dua za masnoon ni: Dua ya Kwanza: Mwenye kusoma dua ifuatayo wakati wa kuondoka kwenda msikitini hupata rehema khaas za Allah ta’ala, na Malaika elfu sabini watamuombea dua ya msamaha.[1] اَللّٰهُمَّ إِنِّيْ أَسْأَلُكَ بِحَقِّ السَّائِلِيْنَ عَلَيْكَ وَأَسْأَلُكَ بِحَقِّ مَمْشَايَ هٰذَا فَإِنِّيْ …
			Soma Zaidi »
		 
				
		
	
	
	
	
		
		
		
	
		
	June 4, 2022	
	Sunna na Adabu, Sunna na Adabu Za Musjid
	
	
					
		
			
		
		
		
					
		
			4. Nenda msikitini kwa utulivu na kwa njia ya heshima. Usije mbio msikitini na kukimbia.[1] عن أبي هريرة رضي الله عنه قال سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول إذا أقيمت الصلاة فلا تأتوها تسعون وأتوها تمشون عليكم السكينة فما أدركتم فصلوا وما فاتكم فأتموا (صحيح البخاري، الرقم: 908) …
			Soma Zaidi »