admin

Nyakati ambazo miswaak inapaswa kutumiwa

5. Meno yanapobadilika rangi au harufu mbaya hutoka mdomoni.

Imeripotiwa kutoka kwa Sayyidina ja'far (radhiallahu anhu) Kwamba wakati mmoja, sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alihutubia watu fulani akisema, "kuna nini mpaka nyie mnakuja kwangu katika hali ambayo naona meno yenu kuwa ni ya njano? Na Nimewashauri kusafisha meno yenu na miswaak." Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kisha akasema, "kama isingekuwa hofu ya umma wangu kupata shida, hakika ningewaamuru (na kuilazimisha) watumie miswaak wakati wa kila salaa (hata hivyo, kutumia miswaak sio lazima lakini ni sunnah iliyosisitizwa wakati wa wudhu)".

Soma Zaidi »

Njia ambayo Allah subhaana wata’ala anawashughulikia viumbe.

1. Allah subhaana wata’ala ni mwingi wa rehema kwa waja wake. Yeye ni mwenye kupenda Sana, na nimvumilivu. Yeye ndiye anayesamehe dhambi na kukubali toba. 2. Allah subhaana wata’ala ni mwadilifu kabisa. Hamuonei kiumbe wowote kwa kiwango cha hata chembe. 3. Allah subhaana wata’ala amempa mwanadamu ufahamu na uwezo wa …

Soma Zaidi »

Vyeo kumi vilivyoinuliwa

عن أنس بن مالك قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم من صلى علي صلاة واحدة صلى الله عليه عشر صلوات وحطت عنه عشر خطيئات ورفعت له عشر درجات (سنن النسائي، الرقم: ١٢٩٧، وسنده حسن كما في المطالب العالية ١٣/٧٨٥) Sayyidina Anas Binn maalik (radhiyallahu ‘anhu) Anaripoti kwamba Rasulullah …

Soma Zaidi »

Imani kuhusu Allah subhaanawata’ala

7. Allah subhaana wata’ala hazuiliwi kwa nafasi au wakati. Badala yake, yeye ndiye muundaji wa nafasi na wakati.[1] 8. Allah subhaana wata’ala ni Mwenye nguvu na Anajua kila kitu. Hakuna kitu ambacho kinafichwa kutoka kwa maarifa yake.[2] 9. Hana udhaifu, mapungufu na kasoro yoyote. Yeye ni mkamilifu kabisa katika sifa …

Soma Zaidi »

Kupokea baraka kumi

Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, "Yoyote atakayetuma salaam juu yangu mara moja, Allah subhaana wata'alah atamwandikia fadhila kumi (katika kitabu chake cha matendo)."

Soma Zaidi »

Imani kuhusu Allah subhaanawata’ala

Imani kuhusu uwepo na sifa za Allah subhaana wata’ala 1. Allah subhaana wata’ala ndiye pekee anayestahiki kuabudiwa.[1] 2. Kabla ya uumbaji wa ulimwengu wote, kila kitu hakikuwepo, badala ya Allah subhaana wata’ala Kisha akaumba kila kitu kutoka hali ya kutokuwepo. Badala ya Allah subhaana wata’ala, hakuna mtu mwingine aliye na …

Soma Zaidi »

Salaam itapimwa kwa kiwango cha kipimo kikamilifu.

Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) anasema, "yule anayetaka salamu yake juu yangu ipimwe kwa kiwango kilicho pimwa kamili (na hivyo kupokea tuzo kamili kwa salaam) wakati akisoma salaam juu yetu, na ahlul bayt, basi anapaswa kusoma salaam ifuatayo:

Ewe Allah subhaanawata'ala! tuma salaamu kwa Nabii Muhammad (sallallahu ‘alaihi wasallam) Nabii asiye juwa kusoma, wake zake, mama wa waumini, kizazi chake na watu wa nyumba yake kama jinsi ulivyotuma salaamu kwa familia ya Ebrahim (alahis salaam), hakika wewe ndiye unastahili sifa, mwingi wa kupandisha.

Soma Zaidi »