12. Usipotoshe maneno ya adhaan au kutoa adhaan kwa sauti ambayo maneno ya adhana hupotoshwa.[1] عن يحيى البكاء قال قال رجل لابن عمر رضي الله عنهما إني لأحبك في الله فقال ابن عمر رضي الله عنهما لكني أبغضك في الله قال ولم قال إنك تتغنى في أذانك وتأخذ عليه أجرا …
Soma Zaidi »Imani kuhusu siku ya Qiyaamah
1. Siku ya qiyaamah itakuwa siku ya Ijumaa. Hii itakuwa siku ya mwisho ya dunia hii. Allah subhaana wata’ala ataangamiza ulimwengu huu wote. Isipokuwa Allah subhaana wata’ala, hakuna anaejua tarehe kamili ambayo ulimwengu utaisha.[1] 2. Allah subhaana wata’ala atamuamrisha Israfeel (alahis salaam) kupuliza baragumba yenye umbo la pembe. Sauti ya …
Soma Zaidi »Kumswalia Nabii Wa Allah Subhaana Wata’ala Asubuhi Na Jioni
عن أبي الدرداء رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه و سلم من صلى علي حين يصبح عشرا وحين يمسي عشرا أدركته شفاعتي يوم القيامة رواه الطبراني بإسنادين أحدهما جيد (الترغيب و الترهيب رقم 987) Sayyidina Abu Dardaa (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kasema, …
Soma Zaidi »Njia ya Sunna ya kuita adhana.
8. Toa adhaan polepole na usimame baada ya kusema kila neno la adhaan.[1] عن جابر رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال لبلال إذا أذنت فترسل… (سنن الترمذي، الرقم: 195)[2] Sayyidina Jaabir (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alimuhutubia Bilaal (radhiyallahu ‘anhu) akisema, “unapotoa …
Soma Zaidi »Imani kuhusu taqdeer (kutabiriwa)
1. Taqdeer inahusu elimu kamili ya Allah subhaana wata’ala Yaani Allah subhaana wata’ala ana ujuzi kamili wa kila kitu na kila tukio kabla ya kutokea, liwe zuri au baya, au tukio la zamani, sasa hivi au la baadaye.[1] 2. Allah subhaana wata’ala amewapa wanadamu uwezo wa kutenda mema na mabaya. …
Soma Zaidi »Matokeo ya mkusanyiko usio na Dhikr na saalat na salaam
عن جابر قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: ما اجتمع قوم ثم تفرقوا عن غير ذكر الله وصلاة على النبي صلى الله عليه وسلم إلا قاموا عن أنتن جيفة (مسند أبي داود الطيالسي، الرقم: 1863، ورواته ثقات كما في إتحاف الخيرة المهرة، الرقم: 6062) Imepokelewa kuwa Rasulullah (sallallahu …
Soma Zaidi »Njia ya Sunna ya kuita adhana.
4. Toa adhana kwa sauti ya juu.[1] عن عبد الله بن زيد رضي الله عنه قال … فأخبرته بما رأيت فقال إنها لرؤيا حق إن شاء الله فقم مع بلال فألق عليه ما رأيت فليؤذن به فإنه أندى صوتا منك (سنن أبي داود، الرقم: 499)[2] Sayyidina Abdullah bin Zaid (radhiyallahu …
Soma Zaidi »Laana ya Jibra’eel (alahis salaam) na Nabii wa allah subhaana wata’ala
عن كعب بن عجرة قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: احضروا المنبر فحضرنا فلما ارتقى درجة قال: آمين فلما ارتقى الدرجة الثانية قال: آمين فلما ارتقى الدرجة الثالثة قال: آمين فلما نزل قلنا: يا رسول الله لقد سمعنا منك اليوم شيئا ما كنا نسمعه قال: إن جبريل عليه …
Soma Zaidi »Njia ya Sunna ya kuita adhana
1. Hakikisha kwamba nia yako ya kuita adhaan ni kumridhisha Allah subhaana wata’ala pekee yake. فعن ابن عباس رضي الله عنهما أن النبي صلى الله عليه وسلم قال من أذن سبع سنين محتسبا كتبت له براءة من النار (سنن الترمذي، الرقم: ٢٠٦)[1] Sayyidina Ibnu Abbas (radhiyallahu ‘anhuma) anaripoti kwamba Rasulullah …
Soma Zaidi »Imani kuhusu Maandiko matukufu
1. Allah subhaana wata’ala aliteremsha vitabu vingi vitukufu na maandiko kwa manabii (alahimus salaam) mbalimbali kwa ajili ya mwongozo wa watu wao. Tumefahamishwa baadhi ya vitabu na maandiko haya ya Allah subhaana wata’ala ndani ya Qur’ani Tukufu na Hadithi mubaraka, na mengine hatujafahamishwa.[1] 2. Tunaleta Imaan katika vitabu na maandiko …
Soma Zaidi »