Sahaabah

Nafasi Ya Juu Ya Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Mbele Ya Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Baada ya kufariki kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam), Ma answaar walikuwa wamekusanyika huko Thaqifah Bani Saa’idah (bustani ya matunda ya Bani Saa’idah) kumchagua Khaleefah mpia kutoka miongoni mwao. Wakati huo, Abu Bakr na Umar (radhiyallahu anhuma) walikuwa nyumbani kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) na walikuwa hawajui kinachoendelea. Wakiwa nyumbani, Umar …

Soma Zaidi »

Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) Akiuonyesha Ummah Nafasi Tukufu Ya Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikua amekaa pamoja na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu), Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu), Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘anhu) na Maswahaba wengineo (Radhiyallahu ‘anhum) na kinywaji kikaletwa kwa Nabi (Sallallahu alaihi wasallam). Nabi (Sallallahu alaihi wasallam) alichukua kinywaji hicho mkononi mwake na akampa Abu Ubaidah (Radhiyallahu …

Soma Zaidi »

Kumcha Allah Taala

Qataadah (rahimahullah) anasimulia kwamba Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa akisema, (kwa khofu ya kusimama mbele ya Allah Ta’ala Siku ya Qiyaamah na kutoa hesabu ya matendo yake): وددت أني كنت كبشا، فيذبحني أهلي، فيأكلون لحمي، ويحسون مرقي. “Jinsi ninavyotamani ningekuwa kondoo tu. Wamiliki wangu wangenichinja, kula nyama yangu na …

Soma Zaidi »

Kujiepusha Kwa Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Na Utajiri wa Dunia

Wakati Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipotoka Madinah Munawwarah kwenda Baitul Muqaddas ili kuliteka, alisimama Shaam kukutana na Maswahaba waliokuwa wakiishi huko. Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliokuwa wakiishi Shaam na kutawala Shaam walipokuja kukutana naye, akawauliza, “Ndugu yangu yuko wapi?”maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakauliza: “Unamtaja nani?” Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, …

Soma Zaidi »

Tamaa Ya Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) Kubarikiwa Na Chumba Kilichojaa Na Watu Kama Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakati fulani alikua amekaa pamoja na kundi la watu alipokuwa akiwahutubia na kuwauliza swali lifuatalo, “Niambieni nyinyi watu mnatamani kitu gani!” Mtu mmoja alisema: “mimi natamani chumba hiki kizima kijazwe na dirham (sarafu za fedha) na nizitoe zote katika Njia ya Allah Ta’ala.” Umar (Radhiya Allaahu …

Soma Zaidi »

Uaminifu Mkubwa Wa Abu Ubaidah bin Jarrah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Baada ya kusilimu, watu wa Najraan walikuja kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na wakamwomba awapelekee mtu mwaminifu (anayeweza kuwafundisha Dini). Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akawaambia: لأبعثن إليكم رجلا أمينا حق أمين “Nitawatumia mtu mwaminifu, hakika ni mwaminifu sana.” Katika hatua hiyo, Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliokuwepo wote walitamani kuwa wapokezi …

Soma Zaidi »