Ni mfumo wa Allah ambao ametoa wema maalum na umuhimu kwa baadhi ya mambo juu ya mengine. kutoka kwa wanadamu, manabii wamebarikiwa na vyeo na hali ya juu ya wengine. kutoka sehemu tofauti ulimwenguni haramain shareefain (Makka mukarrama na madina munawwara) na musjid Alaqsa wamepewa daraja maalum juu ya ulimwengu …
Soma Zaidi »Fadhila Za Kutumia Miswaki-Sehemu Ya Kwanza
1. Utumiaji wa miswaki unazisha dhawabu ya swala mara sabini.
Sayyidatuna Aaishah (radhiyallahu ‘anha) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema, "Swala iliyo swaliwa baada ya kutumia miswaaki ni bora kuliko swaala iliyoswaliwa bila kupiga mswaaki"
Soma Zaidi »Nyakati Za Sunna Kwenye Kufanya Ghusl
4. Kuingia kwenye ihraam.
Sayyidina Zaid Bin Thabit (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba aliona Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alitoa nguo yake kwa ajili (kuingia) iharaam na alifanya ghusl.
5. Kwa kuingia makkah mukarramah.
Soma Zaidi »Nyakati Za Sunna Kwenye Kufanya Ghusl
Kuna nyakati nyingi za sunna kwa mtu anaye fanya ghusl. Baadhi ya hizi nyakati ni:
1. Siku ya ijumaa.
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Sita
Faradhi Za Ghusl Kuna matendo mawili ya faradhi kwenye ghusl 1. Kuweka niyyah ya kufanya ghusl kabla ya kuanza kuosha mwili 2. Kumimina maji mwili mzima.[1] Sunna Za Ghusl Matendo ya sunna kwenye ghusl 1. Kusoma tasmiyah mwanzoni mwa ghusl.[2] 2. Kuosha mikono mpaka kwenye vifundo.[3] 3. Kuosha sehemu za …
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Tano
16.usijeshughulishe na kuongea, au kuimba au mazungumzo yoyote pindi utakapokuwa unafanya ghusl.
17. Usitumiye muda mwingi bafuni haswa kama bafu yenyewe inatumiwa na watu wengine.
18. Usichafuwe bafu na nywele ulizo nyowa.
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Nne
13. Mimina maji mwilini upande wakulia kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu, baada ya hapo mimina maji mwilini upande wa kushoto kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu. Sunnah itakua imetimizwa kwa kuosha mwili kwa njia hii. Pia ni sahihi kuosha upande wa kulia mara moja , …
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Tatu
9. Fanya udhu uliyo kamilika.
Sayyidatuna Aaisha (radhiyallahu anha) ameripoti kwamba pindi Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) alikuwa akitaka kufanya ghusl ya fardh, alikuwa akianza kwa kuosha mikono yake ya barakah kabla ya kuziingiza ndani ya kopo la maji. Alafu alikuwa akiosha sehemu zake za siri na kufanya udhu , kama jinsi anavyofanya udhu wa swala."
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl – Sehemu Ya Pili
4. Kama unafanya ghusl ndani ya shawa basi hakikisha autumii maji vibaya. Usijishughulishe na kupaka sabuni au kunyowa nywele zisizohitajika (mf: makwapani na sehemu za siri) wakati bomba la maji lipo wazi. Huu ni uharibifu mkubwa na nisababu ya kupata madhambi
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl – Sehemu Ya Kwanza
1. Elekea qibla ukiwa unafanya ghusl. Ni vizuri kuvaa nguo kufunika sehemu za siri ukiwa unaoga.
2. Oga kwenye sehemu ambayo mtu hawezi kukuona. Ni vizuri kuoga na sehemu za siri zikiwa zimefunikwa. Hata hivyo inaruhusiwa kama mtu yuko sehemu iliyofungwa (mf: bafuni) na mtu anaoga bila kufunika sehemu za siri.
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu