Faradhi Za Ghusl Kuna matendo mawili ya faradhi kwenye ghusl 1. Kuweka niyyah ya kufanya ghusl kabla ya kuanza kuosha mwili 2. Kumimina maji mwili mzima.[1] Sunna Za Ghusl Matendo ya sunna kwenye ghusl 1. Kusoma tasmiyah mwanzoni mwa ghusl.[2] 2. Kuosha mikono mpaka kwenye vifundo.[3] 3. Kuosha sehemu za …
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Tano
16.usijeshughulishe na kuongea, au kuimba au mazungumzo yoyote pindi utakapokuwa unafanya ghusl.
17. Usitumiye muda mwingi bafuni haswa kama bafu yenyewe inatumiwa na watu wengine.
18. Usichafuwe bafu na nywele ulizo nyowa.
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Nne
13. Mimina maji mwilini upande wakulia kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu, baada ya hapo mimina maji mwilini upande wa kushoto kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu. Sunnah itakua imetimizwa kwa kuosha mwili kwa njia hii. Pia ni sahihi kuosha upande wa kulia mara moja , …
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Tatu
9. Fanya udhu uliyo kamilika.
Sayyidatuna Aaisha (radhiyallahu anha) ameripoti kwamba pindi Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) alikuwa akitaka kufanya ghusl ya fardh, alikuwa akianza kwa kuosha mikono yake ya barakah kabla ya kuziingiza ndani ya kopo la maji. Alafu alikuwa akiosha sehemu zake za siri na kufanya udhu , kama jinsi anavyofanya udhu wa swala."
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl – Sehemu Ya Pili
4. Kama unafanya ghusl ndani ya shawa basi hakikisha autumii maji vibaya. Usijishughulishe na kupaka sabuni au kunyowa nywele zisizohitajika (mf: makwapani na sehemu za siri) wakati bomba la maji lipo wazi. Huu ni uharibifu mkubwa na nisababu ya kupata madhambi
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl – Sehemu Ya Kwanza
1. Elekea qibla ukiwa unafanya ghusl. Ni vizuri kuvaa nguo kufunika sehemu za siri ukiwa unaoga.
2. Oga kwenye sehemu ambayo mtu hawezi kukuona. Ni vizuri kuoga na sehemu za siri zikiwa zimefunikwa. Hata hivyo inaruhusiwa kama mtu yuko sehemu iliyofungwa (mf: bafuni) na mtu anaoga bila kufunika sehemu za siri.
Soma Zaidi »Njia Za Sunna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Nane
24. Usitumie maji vibaya ukiwa unafanya udhu.
Sayyidina Abdullah Bin Amr (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alipita kwa Sayyidina Sa'd (radhiyallahu anhu) akiwa anafanya udhu. Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alimuuliza, "huu uharibifu ni wanini (ya maji kwenye udhu wako)?" Alijibu, "kwani kuna uharibifu kwenye udhu?" Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alimjibu, "ndiyo hata kama unafanya udhu ukingoni mwa mto (pia, kuwa makini kutoharibu maji).
Soma Zaidi »Njia Za Sanna Za Kufanya Udhu -Sehemu Ya saba
20. Osha viungo vya upande wa kulia kabla viungo vya upande wa kushoto.[1] عن أبي هريرة رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا لبستم وإذا توضأتم فابدءوا بأيامنكم (سنن أبي داود، الرقم: ٤١٤١)[2] Sayyiduna Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Sayyiduna Rasulullah (sallallahu alaih wasallam) …
Soma Zaidi »Njia Za Sanna Za Kufanya Udhu -Sehemu Ya Sita
Baada ya kumaliza kufanya udhu, soma shahada. Kama uko sehemu iliyo wazi, angalia mbiguni ukiwa unasoma shahada.[1] Vile vile soma dua zingine ambazo zimetajwa katika hadith.
Soma Zaidi »Sunna Na Adabu Za Ramadhaani 5
27. Kaa kwenye itikafu siku 10 za mwisho za ramadhaani kama unauwezo.
Sayyidina Ibnu Abbaas (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema kuhusu mwenye kukaa itkafu, "mwenye kukaa itkafu (ndani ya msikiti) anajiepusha na madhambi, na kwa wakati wote, anapata thawabu ya kufanya ibada mbali mbali angekuwa na uwezo wa kuzifanya kama asingekuwa kwenye itkafu".
Soma Zaidi »