4. Jifunike kichwa na uvae viatu kabla hujaingia chooni.
Sayyidina Habeeb Bin Saalih(rahimahullah) alitowa taarifa kuwa Nabii wa Allah subhaana wata'alah (sallallahu 'alaihi wassallam) alikuwa ana vaa viatu na anajifunika kichwa chake cha baraka wakati akiingia chooni.
Soma Zaidi »