Abu Hurairah (Radhiyallahu ‘Anhu) anaripoti kwamba wakati moja, baada ya swala alfajiri, Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam) alimwambia Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu), “Ewe Bilaal! Kutoka kwa vitendo unavyofanya za kiislam, niambie ni kitendo gani unachokifanya kikubwa la kukufaidisha Akhera, kwa sababu usiku wa jana, nilikuwa nimesikia nyayo zako mbele yangu huko Jannah …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 5
4. Baada ya kumaliza kula, kwanza ondoa chakula kwenye mkeka kabla ya kuamka na kuondoka. Wakati wa kuondoka, Dua ifuatayo inapaswa kusomwa: اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ حَمْدًا كَثِيْرًا طَيِّبًا مُبَارَكًا فِيْهِ غَيْرَ مَكْفِيٍّ وَلَا مُوَدَّعٍ وَلَا مُسْتَغْنًى عَنْهُ رَبَّنَا Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala), sifa kama hizo ambazo ni …
Soma Zaidi »Bilaal (Radhiyallahu anhu) Akichaguliwa Kuwa Muadhin Wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam)
Wakati sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alifanya hijra (alihamia) kwenda madina munawwarah, aliwasiliana na maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) Kuhusu njia itakayochukuliwa ya kuwaita watu kwenye swala. Ilikuwa hamu iliyokuwa ndani ya moyo wa sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwamba maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) wote wakusanyike na kutekeleza swala zao pamoja msikitini. Sayyidina …
Soma Zaidi »Tafseer Ya Surah Naazi’aat
وَالنَّازِعَاتِ غَرْقًا ﴿١﴾ وَالنَّاشِطَاتِ نَشْطًا ﴿٢﴾ وَالسَّابِحَاتِ سَبْحًا ﴿٣﴾ فَالسَّابِقَاتِ سَبْقًا ﴿٤﴾ فَالْمُدَبِّرَاتِ أَمْرًا ﴿٥﴾ Ninaapa kwa wale (malaika) ambao wanao toa (roho za makafiri) kwa nguvu, na kwa wale (malaika) wanao toa (roho za waumini) kwa upole, na kwa wale (malaika) ambao wanapaa (angani) kwa haraka, na kwa wale (malaika) ambao wanashindana mbio (kutimiza amri za Allah Ta’ala), …
Soma Zaidi »Istiqaama wa Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) juu ya Uislamu:
Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) ni Sahaabi maarufu kati maswahaabah (Radhiyallahu’ Anhum), na alikuwa Muazzin wa msikiti wa Mtume (Sallallahu ‘Alaihi wasallam) . Mwanzoni alikuwa mtumwa wa Abyssinia wa kafiri mmoja huko Makkah Mukarramah. Yeye kuwa muislamu, kama kawaida, haukupendwa na mmiliki wake na kwa hivyo aliteswa bila huruma. Ummayah bin Khalaf, …
Soma Zaidi »Ukweli wa Shaikh Abdul Qaadir Jeelani
Shaikh Abdul Qaadir Jeelani (Rahimahullah) alikuwa ni Sheikh mkubwa na Wali wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) ambaye alikuwa akiishi katika karne ya sita ya kiislamu. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimbariki na kukubaliwa kiasi kwamba Watu wengi walibadili maisha yao mikononi mwake. Sifa mmoja muhimu ambao ulisimama katika maisha yake ulikuwa …
Soma Zaidi »Sa’d bin Abi Waqqaas (radhiyallahu ‘anhu) akishiriki katika Ghusal ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu’ Anhu)
Wakati Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alipofariki, sa’d bin abi Waqqaas (Radhiyallahu’ Anhu) na Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma) walikuwa miongoni ya watu waliompa Ghusal. Baada ya Janazah kubebwa na watu kutoka Aqeeq kwenda Madinah Munawwarah kuzikwa huko Baqi ‘, kaburi la Madinah Munawwarah. Pindi Janaazah ilipopita nyumba ya Sa’d …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 4
8. Wakati wa kula, mtu hapaswi kukaa kimya kabisa. Lakini, mtu hapaswi kuongelea mambo ambayo yatasababisha wengine kukereheshwa, kupta kichefuchefu au kupoteza hamu ya kula (k.m. kuongea kuhusu mtu kufa, kuumwa nk). 9. Ikiwa unakula na wengine na chakula ni kidogo, basi uwe mstaraabu na uhakikishe kuwa wengine pia wanaweza …
Soma Zaidi »Fikra ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kumchagua Khalifah
Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwahi kukaa na mtoto wake, Abdullah bin Umar, binamu yake, Saeed bin Zaid na Abbaas (Radhiyallahu’ Anhum). Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwaambia, “Nimeamua kwamba sitamchaguwa mtu yoyote maalum kama Khalifah baada yangu.” Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu), akiwa na wasiwasi juu ya ustawi wa Waislamu na jambo la …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 3
4. Wakati wa kula, Mtukuze Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema “alhamdulillah”. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Hakika Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anafurahishwa na yule anayekula chakula, au anayekunywa maji, na humsifu Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema” alhamdulillah “. 5. Kula na vidole vitatu …
Soma Zaidi »