Mtu kutoka katika kabila la Banu Sulaym alisimuliya yafuatayo: “Wakati mmoja nilikuwa nimekaa kwenye mkutano ambao Abu dhar alikuwepo pia. Wazo lilikuwa akilini mwangu kwamba labda Abu dharr amekasirishwa na Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa sababu Uthmaan (Radhiyallahu anhu) alimuomba aondoke Madinah Munawwarah na aende kuishi katika sehemu inayoitwa Rabadha. Wakati …
Soma Zaidi »Abu Dharr (Radhiyallahu ‘Anhu) Kuhamia Shaam na Rabadhah
Ilikuwa kwa sababu ya Abu Dharr Ghifaari (Radhiyallahu ‘Anhu) akiangalia maisha ya Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) kuwa ya Uadilifu na Kuipa mgongo Ulimwengu, na kusikia maonyo makali kwa wale ambao wana mali lakini hawatoi haki za mali zao na haki wanazowadai wengine katika utajiri huo, kwamba Abu Dharr (Radhiyallahu’ Anhu) …
Soma Zaidi »Sifa Ya Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Ya Kuipa Mgongo Dunia
Abu Dhar Ghifaari (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa Sahaabi ambaye alifanana na Nabi Isa (‘ Alaihis Salaam) katika sura yake ya mwili na sifa zake nzuri. Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alisema, “Yoyote anayetaka kumtazama Isa bin Maryam (‘ Alaihis Salaam) Katika uchamungu wake, ukweli wake, na kujitolea kwake (kwenye Ibaadah), basi anapaswa …
Soma Zaidi »Ufuataji wa Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa maagizo wa Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam)
Maroor bin Suwaid (Rahimahullah) anasimulia yafuatayo: Wakati mmoja tulipita kwa Abu dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) huko Rabzah na kugundua kuwa alikuwa amevaa vipande viwili vya nguo. Mmoja ilikuwa ya kuzeeka na nyingine ilikuwa mpya, na mtumwa wake pia alikuwa amevaa vipande viwili vya nguo, ambayo kipande kimoja kilikuwa kipya na kingine …
Soma Zaidi »Dua Ya Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) Kwa Abu Dhar (Radhiyallahu’ Anhu)
Abdullah bin Mas’ood (Radhiyallahu ‘Anhu) anasimulia kwamba: Wakati Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alipoondoka kwenye safari ya Tabook, watu wengine hawakujiunga na msafara huo na waliamua kubaki nyuma. Watu wengi miongoni mwao walikuwa Munaafiqeen (wanafiki). Wakati maswahaabah (Radhiyallahu ‘Anhum) angemjulisha Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam) Kuhusu wale watu ambao walibaki nyuma, Rasulullah …
Soma Zaidi »Olemekezeka Abu Zar (Radhwiyallahu ‘anhu) Kulemekeza Alendo
‘Isa bin ‘Umailah (Rahimahullah) akufotokoza za munthu wina amene adawona khalidwe la Abu Zar (Radhwiyallahu ‘anhu) kwa anansi ake ndi alendo. Akunena kuti: “Nthawi iliyonse Abu Zar radhwiyallahu anhu akamakama mkaka wa mbuzi zake, poyamba ankagaira mkakawu anthu oyandikana nawo nyunba ndi alendo ake kuti ayambe amwa iwowo kenako ankamwa …
Soma Zaidi »Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Akisilimu
Hali Kabla ya Kukubali Uislamu: Kabla ya kukubali Uislamu, Abu dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mwiza wa barabarani. Alikuwa jasiri kwamba bila msaada ya wezi wengine alikuwa nauwezo wa kuiba mizigo ya wapitanjia mwenyewe. Wakati mwingine, alikuwa akiwashambulia watu akiwa amepanda farasi, na wakati mwingine alikuwa akiwashambulia kwa miguu. (Siyar a’elaam …
Soma Zaidi »Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) Akirudi Kutoka Madinah Munawwarah
‘Allaamah Zurqaani (Rahimahullah) amenukuu tukio lifuatalo Kutoka kwa Haafidh Ibn ‘Asaakir (Rahimahullah) na sanad ya nguvu ya wasimulizi: Baada ya Rasulullah (Sallallahu Alaihi Wasaalm) kufariki, ilikuwa ngumu kwa Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) kuendelea kuishi Madinah Munawwarah kutokana na upendo wake mkubwa kwa Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi wasallam) katika mji uliobarikiwa. Kwa hivyo, …
Soma Zaidi »Dua ya Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa MaQuraish Wapate Mwongozo
‘Urwah bin Zubair (Rahimahullah) anasimulia kwamba mwanamke wa ukoo wa Banu Najjaar (yaani. Nawwaar bint Maalik, mama wa Zaid bin Thaabit (Radhiyallahu’ Anhuma) alisema, “Nyumba yangu iliwekwa huko Mahali ya juu na ilikuwa moja ya nyumba za juu karibu na Msikit (yaani. Masjidun Nabawi). “Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa akitoa Adhaan …
Soma Zaidi »Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) akiwa katika jukumu la kutunza mkuki wa Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam)
Mfalme wa Abyssinia (Najaashi (Rahimahullah) aliwahi kumtumia Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) mikuki mitatu kama zawadi. Baada ya kupokea mikuki mitatu, Rasulullah (Sallallahu 'Alaihi Wasallam) aliimpa Ali (Radhiyallahu' Anhu) mkuki mmoja, akaampa Umar (Radhiyallahu' Anhu) mkuki wa pili na akabaki na mkuki wa tatu.
Katika vipindi vya laidi (idi ndogo na idi kubwa), Bilaal (Radhiyallahu 'Anhu) alikuwa akibeba mkuki wa Rasulullah (Sallallahu' Alaihi Wasallam) na kutembea mbele yake. Alikuwa akitembea mbele ya Rasulullah (Sallallahu 'Alaihi Wasallam) wakati akiwa ameshikilia mkuki kwa kumheshimu Rasulullah (Sallallahu' Alaihi Wasallam).
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu