Sunna na Adabu

Njia ya Sunna ya kuita adhana.

8. Toa adhaan polepole na usimame baada ya kusema kila neno la adhaan.[1] عن جابر رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال لبلال إذا أذنت فترسل… (سنن الترمذي، الرقم: 195)[2] Sayyidina Jaabir (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alimuhutubia Bilaal (radhiyallahu ‘anhu) akisema, “unapotoa …

Soma Zaidi »

Njia ya Sunna ya kuita adhana.

4. Toa adhana kwa sauti ya juu.[1] عن عبد الله بن زيد رضي الله عنه قال … فأخبرته بما رأيت فقال إنها لرؤيا حق إن شاء الله فقم مع بلال فألق عليه ما رأيت فليؤذن به فإنه أندى صوتا منك (سنن أبي داود، الرقم: 499)[2] Sayyidina Abdullah bin Zaid (radhiyallahu …

Soma Zaidi »

Njia ya Sunna ya kuita adhana

1. Hakikisha kwamba nia yako ya kuita adhaan ni kumridhisha Allah subhaana wata’ala pekee yake. فعن ابن عباس رضي الله عنهما أن النبي صلى الله عليه وسلم قال من أذن سبع سنين محتسبا كتبت له براءة من النار (سنن الترمذي، الرقم: ٢٠٦)[1] Sayyidina Ibnu Abbas (radhiyallahu ‘anhuma) anaripoti kwamba Rasulullah …

Soma Zaidi »

Fadhila za Muaddhin

9. Ilikuwa ni matamanio ya sahaaba (radhiyallahu ‘anhum) kutoa adhana na walitamani watoto wao pia watoe adhana. Chini kuna baadhi ya hadithi zinazoonyesha shauku ya sahaaba (radhiyallahu ‘anhum) kutoa adhaan: Hamu ya Sayyidina Ali (radhiyallahu ‘anhu) kwa Sayyidina Hasan (radhiyallahu ‘anhu) na Sayyidina Husein (radhiyallahu ‘anhu) kutoa adhana: عن علي …

Soma Zaidi »

Fadhila za Muaddhin

6. Muadhin ameelezwa kwenye Hadithi kuwa amehesabiwa kuwa waja bora wa Allah subhaana wata’ala. فعن ابن أبي أوفى رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم إن خيار عباد الله الذين يراعون الشمس والقمر والنجوم والأظلة لذكر الله (المستدرك على الصحيحين للحاكم، الرقم: ١٦٣، وإسناده صحيح كما …

Soma Zaidi »

Fadhila za Muaddhin 2

4.kila kiumbe (kama jini, mwanadamu au kiumbe mwingine yoyote) ambaye husikia sauti ya muadhin akiadhini adhaan atashuhudia kwa niaba yake siku ya qiyaamah. فعن عبد الرحمن بن عبد الله بن عبد الرحمن بن أبي صعصعة الأنصاري ثم المازني عن أبيه أنه أخبره أن أبا سعيد الخدري رضي الله عنه قال …

Soma Zaidi »

Fadhila za Muaddhin

Adhaan ni miongoni mwa sifa muhimu za Deen za kiislaam. Uislamu umetoa heshima kubwa kwa wale wote ambao wanatoa adhaan, wakiita watu kuelekea kuswali. Siku ya qiyaamah, watu watawapongeza wale ambao walikuwa wakitoa adhaan ulimwenguni kwa sababu ya nafasi yao tukufu na hadhi ya juu aakhera. Hadithi nyingi zinataja fadhila …

Soma Zaidi »

Adhaan – Ilivyo anzishwa na asili yake

Wakati sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alifanya hijra (alihamia) kwenda madina munawwarah, aliwasiliana na maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) Kuhusu njia itakayochukuliwa ya kuwaita watu kwenye swala. Ilikuwa hamu iliyokuwa ndani ya moyo wa sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwamba maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) wote wakusanyike na kutekeleza swala zao pamoja msikitini. Sayyidina …

Soma Zaidi »

Nyakati ambazo miswaak inapaswa kutumiwa

7. Wakati mtu anahisi maumivu ya kifo (sakaraatul maut). عن عائشة رضي الله عنها قالت دخل عبد الرحمن بن أبي بكر ومعه سواك يستن به فنظر إليه رسول الله صلى الله عليه وسلم فقلت له أعطني هذا السواك يا عبد الرحمن فأعطانيه فقصمته (وفي رواية وطيبته) ثم مضغته فأعطيته رسول …

Soma Zaidi »

Nyakati ambazo miswaak inapaswa kutumiwa

5. Meno yanapobadilika rangi au harufu mbaya hutoka mdomoni.

Imeripotiwa kutoka kwa Sayyidina ja'far (radhiallahu anhu) Kwamba wakati mmoja, sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alihutubia watu fulani akisema, "kuna nini mpaka nyie mnakuja kwangu katika hali ambayo naona meno yenu kuwa ni ya njano? Na Nimewashauri kusafisha meno yenu na miswaak." Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kisha akasema, "kama isingekuwa hofu ya umma wangu kupata shida, hakika ningewaamuru (na kuilazimisha) watumie miswaak wakati wa kila salaa (hata hivyo, kutumia miswaak sio lazima lakini ni sunnah iliyosisitizwa wakati wa wudhu)".

Soma Zaidi »