Ukarimu Wa Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Hishaam bin ‘Urwah anataja kwamba maswahaabah saba (Radhiya Allaahu ‘anhum) walimchagua Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa mtekelezaji wa mali zao baada ya kufariki kwao. Miongoni mwa hawa maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa ‘Uthmaan (Radhiya Allaahu ‘anhu), ‘Abdur Rahmaan bin ‘Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu), Miqdaad (Radhiyallahu ‘anhu) na ‘Abdullah bin Mas’uud (Radhiyallahu ‘anhu). Baada ya kufariki kwao, Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) alihifadhi mali zao kwa ajili ya watoto wao wadogo na alikuwa akitumia mali yake binafsi kwenye mahitaji yao. (Usdul Ghabah 2/211)

About admin

Check Also

Tahadhari Kubwa ya Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) anaposimulia Hadith za Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

‘Amr bin Maimoon (rahimahullah) aliwahi kueleza tahadhari kubwa ya Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) …