Ukarimu Wa Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Hishaam bin ‘Urwah anataja kwamba maswahaabah saba (Radhiya Allaahu ‘anhum) walimchagua Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa mtekelezaji wa mali zao baada ya kufariki kwao. Miongoni mwa hawa maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa ‘Uthmaan (Radhiya Allaahu ‘anhu), ‘Abdur Rahmaan bin ‘Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu), Miqdaad (Radhiyallahu ‘anhu) na ‘Abdullah bin Mas’uud (Radhiyallahu ‘anhu). Baada ya kufariki kwao, Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) alihifadhi mali zao kwa ajili ya watoto wao wadogo na alikuwa akitumia mali yake binafsi kwenye mahitaji yao. (Usdul Ghabah 2/211)

About admin

Check Also

Uaminifu Mkubwa Wa Abu Ubaidah bin Jarrah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Baada ya kusilimu, watu wa Najraan walikuja kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na wakamwomba awapelekee …