Hishaam bin ‘Urwah anataja kwamba maswahaabah saba (Radhiya Allaahu ‘anhum) walimchagua Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa mtekelezaji wa mali zao baada ya kufariki kwao. Miongoni mwa hawa maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa ‘Uthmaan (Radhiya Allaahu ‘anhu), ‘Abdur Rahmaan bin ‘Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu), Miqdaad (Radhiyallahu ‘anhu) na ‘Abdullah bin Mas’uud (Radhiyallahu ‘anhu). Baada ya kufariki kwao, Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) alihifadhi mali zao kwa ajili ya watoto wao wadogo na alikuwa akitumia mali yake binafsi kwenye mahitaji yao. (Usdul Ghabah 2/211)
Check Also
Bilaal (Radhiyallahu anhu) Akichaguliwa Kuwa Muadhin Wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam)
Wakati sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alifanya hijra (alihamia) kwenda madina munawwarah, aliwasiliana na maswahaaba …