Mtu Bora Katika Ummah Huu

Abu Dardaa (Radhiya Allaahu ‘anhu) ametaja: “Siku moja, Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) aliniona nikitembea mbele ya Abu Bakr (Radhiyallahu ‘anhu).

“Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alipoona hili, aliniambia: “Usitembee mbele ya aliye bora kuliko wewe (yaani Abu Bakr (Radhiya Allaahu anhu)” Baada ya hapo Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akaeleza fadhila kubwa za Abu Bakr (Radhiyallahu anhu). Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) ni mtu bora (wa ummah huu) ambaye jua lilichomoza au kutua kwake.

About admin

Check Also

Mshale Wa Kwanza Kurushwa kwa Ajili Ya Uislamu

Sa’d (radhiya allaahu ‘anhu) alikuwa miongoni la kundi la Maswahabah ambao Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) …