Monthly Archives: August 2022

Sunna Za Msikiti

14. Hakikisha unazima simu yako ya mkononi unapoingia msikitini ili isilete usumbufu kwa wale wenye
kujishughulisha na kuswali na ibaadaah zingine.

15. Usipige picha au kutengeneza video ukiwa msikitini. Kupiga picha au kutengeneza video za vitu vilivyo hai ni haraam katika Uislamu, na kufanya hivyo katika msikitini ni dhambi kubwa zaidi.

Soma Zaidi »

Kutuma Salaa na Salaam juu ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) pamoja na Manabii wengine

عن قتادة عن أنس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: إذا صليتم علي المرسلين فصلوا علي معهم فإني رسول من المرسلين ( الصلاة على النبي لابن أبي عاصم، الرقم: 69، وإسناده حسن جيد كما في القول البديع صـ 134) Imepokewa kutoka kwa Anas (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti.

13. Usipaze sauti yako au kufanya kelele ndani ya msikiti na katika eneo linalozunguka musjid.[1] عن السائب بن يزيد رضي الله عنه قال كنت نائما في المسجد فحصبني رجل فنظرت فإذا عمر بن الخطاب رضي الله عنه فقال اذهب فأتني بهذين فجئته بهما فقال ممن أنتما أو من أين أنتما …

Soma Zaidi »