Sahaabah

Ukarimu Wa Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Hishaam bin ‘Urwah anataja kwamba maswahaabah saba (Radhiya Allaahu ‘anhum) walimchagua Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa mtekelezaji wa mali zao baada ya kufariki kwao. Miongoni mwa hawa maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa ‘Uthmaan (Radhiya Allaahu ‘anhu), ‘Abdur Rahmaan bin ‘Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu), Miqdaad (Radhiyallahu ‘anhu) na ‘Abdullah bin Mas’uud …

Soma Zaidi »

Istiqaama Katika Uislamu

Abul Aswad anasimulia yafuatayo: Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) alisilimu na umri wa miaka minane, na akafanya hijrah akiwa na umri wa miaka kumi na nane. Mjomba wake alikuwa akimweka ndani la kibanda kidogo na kuwasha moto ili ateseke na moshi huo. Kisha mjomba wake angemuamuru kuu achana Uislamu, ambao alikuwa …

Soma Zaidi »

Kushiriki katika Vita vya Badr

Ismaa’il bin Abi Khaalid anasimulia kwamba Bahiyy (rahimahullah) alisema: “Wapanda farasi walikuwa wawili tu wakipigana katika Jihaad kwenye tukio la Badr. Mmoja wao alikuwa Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu), ambaye alikuwa akipigana upande wa kulia, na mwingine alikuwa Miqdad bin Aswad (Radhiya Allaahu ‘anhu), ambaye alikuwa akipigana upande wa kushoto. Hishaam …

Soma Zaidi »

Tahadhari katika kusimulia Hadith kutoka kwa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)

Abdullah bin Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) anasimulia kwamba wakati fulani alimuuliza baba yake, Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu), “Kwa nini usimuli mahadith za Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam), kama vile maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) wengine?” Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, “Sikuacha upande wa Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) baada ya kusilimu (yaani nina …

Soma Zaidi »

Majeraha Katika Njia Ya Allah Ta’ala

Hafs bin Khaalid (rahimahullah) anasimulia kwamba mzee mmoja aliyetoka Mowsil alimwambia yafuatayo: Wakati fulani nilifuatana na Zubair (Radhiyallahu ‘anhu) moja kati ya safari zake. Wakati wa safari, tukiwa katika ardhi iliyo wazi, isiyo na maji, Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) alihitaji kufanya ghusl la fardh. Akaniambia hivi: “Nifiche (kwa kitambaa ili …

Soma Zaidi »

Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akitoa Upanga Wake Kumlinda Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)

‘Urwah bin Zubair (rahimahullah) anasimulia yafuatayo: Wakati mmoja, Shetani alizusha uwongo kwamba Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ametekwa na Makafiri katika eneo la juu la Makkah Mukarramah. Aliposikia uzushi huu, Zubair (Radhiyallahu ‘anhu), ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili tu wakati huo, mara moja akaondoka, akiwapita watu na …

Soma Zaidi »

Kitendo Kilichomsababishia Sa’d (radhiya allaahu ‘anhu) Kupata Bashara Njema Za Jannah

Anas (radhiya allaahu ‘anhu) anasimulia kwamba katika tukio moja, Maswahabah (Radhiya Allaahu anhum) walikuwa wamekaa kwenye kundi lililobarikiwa la Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliposema: “Baada ya dakika chache atatokea mtu katika watu wa Jannah mbele yenu.” Hapo hapo, Sa’d (radhiyallahu anhu) alitokea, akiwa amebeba viatu vyake kwa mkono wake wa …

Soma Zaidi »

Madai Ya Baadhi Ya Watu Wa Kufah:

Katika mwaka wa 21 A.H., baadhi ya watu wa Kufah walikuja kwa ‘Umar (Radhiyallahu ‘anhu) na kumlalamikia Sa’d (Radhiyallahu ‘anhu) kwamba hakuswali sawa sawa. Wakati huo, Sa’d (Radhiya Allahu ‘anhu) alichaguliwa na Umar (radhiyallahu ‘anhu) kama gavana wa Kufah. Hivyo basi ‘Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) akamwita Sa’d (Radhiya Allaahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »