15. Fanya masaha ya masikio mara tatu na maji mengine. Pindi unapofanya masaha, tumia kidole cha shahada kufanya masaha ndani ya sikio na tumia kidole gumba kufanya masaha nje ya sikio (nyuma ya sikio). Baada ya hapo chukua maji mengine na ulowanishe kidole cha mwisho au kidole cha shahada. Alafu ingiza kidole cha mwisho au kidole cha shahada ndani ya sikio ili ufanye masaha ndani. Mwisho weka viganja vilivyolowa kwenye masikio.
Soma Zaidi »Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Nne
12. Chukua maji kwenye viganja vyote viwili vya mikono na uoshe mkono wa kulia pamoja na kifundo mara tatu. Alafu chukua maji kwenye viganja vyote viwili vya mikono na uoshe mkono wa kushoto pamoja na kifundo mara tatu. Ni sunna kuanza kuosha mikono kuanzia kwenye vidole mpaka kwenye vifundo. Kama …
Soma Zaidi »Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Tatu
9. Soma dua ifuatayo wakati wowote wa kufanya udhu au baada ya udhu:[1] اَللّٰهُمَّ اغْفِرْ لِيْ ذَنْبِيْ وَوَسِّعْ لِيْ فِيْ دَارِيْ وَبَارِكْ لِيْ فِيْ رِزْقِيْ Ewe Allah subhaana wata’alah nisamehe madhambi yangu, zidisha upana ndani ya nyumba yangu na unipe baraka katika riziki yangu. عن أبي موسى الأشعري رضي الله …
Soma Zaidi »Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Pili
6. Sukutuwa mdomo na weka maji puwani kwa pamoja mara tatu.
Njia ya kusukutua mdomo na upandishaji wa maji puani ni ifuatayo: kwanza, chukuwa maji katika kiganja cha mkono wa kulia. Alafu tumia baadhi ya maji, sukutua mara moja. Baada ya hapo tumia yaliyobaki kiganjani pandisha maji puani. Hii njia utairudia mara mbili, kwa kutumia kiganja kingine cha maji kila mara.
Soma Zaidi »Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Pili
4. Osha mikono yote mpaka kwenye vifundo mara tatu
Sayyidina Humraan (rahimahullah), mtumwa aliye huru wa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu)aliomba aletewe maji (kuonyesha watu jinsi gani ya kuchukuwa udhu). Kisha alianza kutawadha kwa kuosha mikono (mpaka kwenye vifundo) mara tatu. (kwenye riwaya hii, iliyopatikana ndani ya Sahihi Bukhari, Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) kasema ” nilimuona Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wassallam) anafanya udhu kwa namna hii.)”
Soma Zaidi »Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Kwanza
1. Pindi hukifanya udhu, elekea qibla na kaa sehemu ya juu ( mf: kiti) ili usipatwe na maji yaliyotumika. Sehemu ambayo mtu anafanya udhu iwe safi.
Sayyidina Abd kheir (rahimahullah) ameripoti kwamba kiti kililetwa kwa Sayyidina Ally (radhiyallahu ‘anhu). Kisha aka kaa juu ya kiti ( kwa ajili ya kuonyesha udhu wa Nabii (sallallahu ‘alaihi wassallam).
Soma Zaidi »Masaili Ya Kawaida Yanayohusiana Na Kujisaidia Mwenyewe
1. S: Je inaruhusiwa kusoma kitu chochote kilichoandikwa kwa mfano magazet,kutumia simu kuchat, kutumia internet, na mengineyo wakati uko chooni ?
J: Chooni ni sehemu ambayo mtu anajisaidia, hivyo haipendezi kwa mtu kutumia simu yake au kusoma kitu chochote chenye maandishi chooni.[1]
Soma Zaidi »Aina Za Sunna Za Kufanya Istinja – Saheemu Ya saba
22. Pindi ukitumia choo Usikiache katika hali ya uchafu mf: kuchafua juu ya choo au kuchafua chini, kwa kutofurashi na maji nk:kama unatumia choo ambacho kinatumiwa na watu wengine kuwa makini zaidi kwa utumiaji wako ili usilete usumbufu kwao
Soma Zaidi »Aina Za Sunna Za Kufanya Istinja – Saheemu Ya Sita
20. Toka chooni na mguu wa kulia na mshukuru Allah subhaana wata'alah kwa kuruhusu machafu kutoka mwilini na kukujalia kukupa mazuri ya afya. Njia ya kumshukuru Allah subhaana wata'alah ni kusoma dua ifuatayo ukiwa unatoka chooni baada ya kujisaidia
Soma Zaidi »Aina Za Sunna Za Kufanya Istinja – Saheemu Ya Tano
17. Chukuwa tahadhari sana kuhakikisha kuwa hupatwi na cheche za mkojo mwilini. Hukifanya uzembe kwa hili kuna adhabu kaburini.
Sayyidina Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) alisema kuwa mtume (sallallahu ‘alaihi wassallam) amesema ” adhabu kali (zitakazo wakabili watu wengi) kaburini ni adhabu za mkojo (mf: mtu kutokuwa makini kwa cheche za mkojo ambazo zinampata. Kwa ajili ya hilo udhu, sala zao na ibada zingine hazitokubalika kwa kuwa mtu anakuwa mchafu”)
Soma Zaidi »