April 26, 2021
Sunna na Adabu
21. Kuna baraka nyingi kwa kuamka muda wa daku. Kwa hiyo mtu atimize sunna ya daku kabla kuanza kufunga.
Sayyidina Abuu Sa'eed Khudri (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema daku inabaraka nyingi. Kwahiyo usiache sunna ya daku, hata kama mtu anaweza kunywa tonye moja la maji muda wa daku (inabidi mtu afanye hivyo ili atimize sunna ya daku.) Kwa hakika Allah subhaana wata'alah ananyunyizia rehema zake maalumu juu ya wale ambao wanaamka muda wa daku na malaika wanawaombea dua maalumu).
Soma Zaidi »
April 19, 2021
Sunna na Adabu
15. Kwenye mwezi wa ramadhaani, jaribu kuzidisha kwa wingi matendo mazuri. Imepokelewa katika hadith kwamba ibada yoyote ile ya nafili (matendo mazuri ya hiyari) yaliyofanyika katika mwezi wa ramadhaani, inamchumia mtu thawabu ya kitendo cha faradhi, na thawabu ya kitendo cha faradhi kilicho fanyika katika mwezi wa ramadhaani kinazidishwa mara sabini
Soma Zaidi »
April 12, 2021
Sunna na Adabu
8. Kwa ukaribio wa ramadhaani na pia kwenye ramadhaani, inabidi mtu asome dua ifuatayo
ewe Allah! Nilinde kwa ajili ya ramadhaani, (kwa kunifanya niuone mwezi wa ramadhaani nikiwa na afya na nguvu ili niweze kuchukuwa maximum faida ndani yake,) na nilindie mwezi wa ramadhaani (kwa kufanya ndani yake nipate maximum faida) na unikubalie.
Soma Zaidi »
April 5, 2021
Sunna na Adabu
1. Anza kujiandaa kabla ya mwezi mtukufu wa ramadhaani. Baadhi ya wachamungu walikuwa wanajiandaa miezi sita kabla ya ramadhaani.
2. Pindi mwezi wa rajabu unapoanza, soma dua ifuatayo
Soma Zaidi »
March 29, 2021
Sunna na Adabu, Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu
15. Fanya masaha ya masikio mara tatu na maji mengine. Pindi unapofanya masaha, tumia kidole cha shahada kufanya masaha ndani ya sikio na tumia kidole gumba kufanya masaha nje ya sikio (nyuma ya sikio). Baada ya hapo chukua maji mengine na ulowanishe kidole cha mwisho au kidole cha shahada. Alafu ingiza kidole cha mwisho au kidole cha shahada ndani ya sikio ili ufanye masaha ndani. Mwisho weka viganja vilivyolowa kwenye masikio.
Soma Zaidi »
March 22, 2021
Sunna na Adabu, Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu
12. Chukua maji kwenye viganja vyote viwili vya mikono na uoshe mkono wa kulia pamoja na kifundo mara tatu. Alafu chukua maji kwenye viganja vyote viwili vya mikono na uoshe mkono wa kushoto pamoja na kifundo mara tatu. Ni sunna kuanza kuosha mikono kuanzia kwenye vidole mpaka kwenye vifundo. Kama …
Soma Zaidi »
March 15, 2021
Sunna na Adabu, Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu
9. Soma dua ifuatayo wakati wowote wa kufanya udhu au baada ya udhu:[1] اَللّٰهُمَّ اغْفِرْ لِيْ ذَنْبِيْ وَوَسِّعْ لِيْ فِيْ دَارِيْ وَبَارِكْ لِيْ فِيْ رِزْقِيْ Ewe Allah subhaana wata’alah nisamehe madhambi yangu, zidisha upana ndani ya nyumba yangu na unipe baraka katika riziki yangu. عن أبي موسى الأشعري رضي الله …
Soma Zaidi »
March 8, 2021
Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu
6. Sukutuwa mdomo na weka maji puwani kwa pamoja mara tatu.
Njia ya kusukutua mdomo na upandishaji wa maji puani ni ifuatayo: kwanza, chukuwa maji katika kiganja cha mkono wa kulia. Alafu tumia baadhi ya maji, sukutua mara moja. Baada ya hapo tumia yaliyobaki kiganjani pandisha maji puani. Hii njia utairudia mara mbili, kwa kutumia kiganja kingine cha maji kila mara.
Soma Zaidi »
March 3, 2021
Sunna na Adabu, Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu
4. Osha mikono yote mpaka kwenye vifundo mara tatu
Sayyidina Humraan (rahimahullah), mtumwa aliye huru wa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu)aliomba aletewe maji (kuonyesha watu jinsi gani ya kuchukuwa udhu). Kisha alianza kutawadha kwa kuosha mikono (mpaka kwenye vifundo) mara tatu. (kwenye riwaya hii, iliyopatikana ndani ya Sahihi Bukhari, Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) kasema ” nilimuona Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wassallam) anafanya udhu kwa namna hii.)”
Soma Zaidi »
March 3, 2021
Sunna na Adabu, Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu
1. Pindi hukifanya udhu, elekea qibla na kaa sehemu ya juu ( mf: kiti) ili usipatwe na maji yaliyotumika. Sehemu ambayo mtu anafanya udhu iwe safi.
Sayyidina Abd kheir (rahimahullah) ameripoti kwamba kiti kililetwa kwa Sayyidina Ally (radhiyallahu ‘anhu). Kisha aka kaa juu ya kiti ( kwa ajili ya kuonyesha udhu wa Nabii (sallallahu ‘alaihi wassallam).
Soma Zaidi »