1. Baada ya kuamka.
Sayyidatuna Aaisha (radhiyallahu ‘anha) anaripoti, "wakati wowote Nabii (sallallahu alaihi wasallam) aliamka kutoka usingizini, ida uwe usiku au mchana, alikuwa anafanya miswaak kabla ya kufanya wudhu."
Soma Zaidi »1. Baada ya kuamka.
Sayyidatuna Aaisha (radhiyallahu ‘anha) anaripoti, "wakati wowote Nabii (sallallahu alaihi wasallam) aliamka kutoka usingizini, ida uwe usiku au mchana, alikuwa anafanya miswaak kabla ya kufanya wudhu."
Soma Zaidi »5. kwa kukosekana kwa miswaak, utumiaji wa kidole haitachukuwa nafasi ya miswaak. Mtu anaweza kutumia kitu ambacho ni kigumu na itatakasa kinywa mfano: mswaki wa kizungu.[1] 6. Miswaak haipaswi kuzidi urefu wa kiganga cha mkono kwa urefu.[2] 7. Mti wowote ambao unaweza kutumiwa kwa kusafisha kinywa na auna madhara au …
Soma Zaidi »1. Njia ya kushika miswaak ni kwa mtu kuweka kidole gumba chake na kidole kidogo chini ya miswaak na vidole vyake vilivyobaki upande wa juu wa miswaak.[1] 2. Shikilia miswaak kwa mkono wa kulia na anza kusafisha meno kutoka kulia.[2] 3. Fanya miswaak ya meno kwa upande upande na ya …
Soma Zaidi »Ni mfumo wa Allah ambao ametoa wema maalum na umuhimu kwa baadhi ya mambo juu ya mengine. kutoka kwa wanadamu, manabii wamebarikiwa na vyeo na hali ya juu ya wengine. kutoka sehemu tofauti ulimwenguni haramain shareefain (Makka mukarrama na madina munawwara) na musjid Alaqsa wamepewa daraja maalum juu ya ulimwengu …
Soma Zaidi »1. Utumiaji wa miswaki unazisha dhawabu ya swala mara sabini.
Sayyidatuna Aaishah (radhiyallahu ‘anha) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema, "Swala iliyo swaliwa baada ya kutumia miswaaki ni bora kuliko swaala iliyoswaliwa bila kupiga mswaaki"
Soma Zaidi »4. Kuingia kwenye ihraam.
Sayyidina Zaid Bin Thabit (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba aliona Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alitoa nguo yake kwa ajili (kuingia) iharaam na alifanya ghusl.
5. Kwa kuingia makkah mukarramah.
Soma Zaidi »Kuna nyakati nyingi za sunna kwa mtu anaye fanya ghusl. Baadhi ya hizi nyakati ni:
1. Siku ya ijumaa.
Soma Zaidi »Faradhi Za Ghusl Kuna matendo mawili ya faradhi kwenye ghusl 1. Kuweka niyyah ya kufanya ghusl kabla ya kuanza kuosha mwili 2. Kumimina maji mwili mzima.[1] Sunna Za Ghusl Matendo ya sunna kwenye ghusl 1. Kusoma tasmiyah mwanzoni mwa ghusl.[2] 2. Kuosha mikono mpaka kwenye vifundo.[3] 3. Kuosha sehemu za …
Soma Zaidi »16.usijeshughulishe na kuongea, au kuimba au mazungumzo yoyote pindi utakapokuwa unafanya ghusl.
17. Usitumiye muda mwingi bafuni haswa kama bafu yenyewe inatumiwa na watu wengine.
18. Usichafuwe bafu na nywele ulizo nyowa.
Soma Zaidi »13. Mimina maji mwilini upande wakulia kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu, baada ya hapo mimina maji mwilini upande wa kushoto kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu. Sunnah itakua imetimizwa kwa kuosha mwili kwa njia hii. Pia ni sahihi kuosha upande wa kulia mara moja , …
Soma Zaidi »