Sunna na Adabu

Muharram na Aashura

Ni mfumo wa Allah ambao ametoa wema maalum na umuhimu kwa baadhi ya mambo juu ya mengine. kutoka kwa wanadamu, manabii wamebarikiwa na vyeo na hali ya juu ya wengine. kutoka sehemu tofauti ulimwenguni haramain shareefain (Makka mukarrama na madina munawwara) na musjid Alaqsa wamepewa daraja maalum juu ya ulimwengu …

Soma Zaidi »