Monthly Archives: October 2023

Wasiwasi Wa Kuulizwa Akhera

Wakati mmoja, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) aliingia kwenye nyumba ya mnyama na akamkuta mtumwa wake akimlisha chakula ngamia. Katika kukagua malisho, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) hakufurahishwa na jinsi mtumwa wake alivyoitayarisha chakula na hivyo akamfinya sikio lake. Baada ya muda kidogo na kuchunguza matendo yake, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) aliingiwa …

Soma Zaidi »