Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa kwenye kitanda chake cha Kifo

Wakati Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia kufariki, mkewe alianza kusema, “Ah, huzuni iliyoje!
Unaondoka katika ulimwengu huu!”

Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu: “Inapendeza nani furaha iliyoje kwamba kesho tutakutana na marafiki zetu, tutakutana na Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na maswahaba zake.

About admin

Check Also

Abdullah ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu anhu) Akisoma Qur-aan Majeed kwa sauti mbele ya Waquraishi

Abdullah ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu anhu) alikuwa mtu wa kwanza kusoma Qur-aan Majeed kwa sauti …