Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa kwenye kitanda chake cha Kifo

Wakati Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia kufariki, mkewe alianza kusema, “Ah, huzuni iliyoje!
Unaondoka katika ulimwengu huu!”

Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu: “Inapendeza nani furaha iliyoje kwamba kesho tutakutana na marafiki zetu, tutakutana na Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na maswahaba zake.

About admin

Check Also

Bilaal (Radhiyallahu anhu) Akichaguliwa Kuwa Muadhin Wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam)

Wakati sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alifanya hijra (alihamia) kwenda madina munawwarah, aliwasiliana na maswahaaba …