Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa kwenye kitanda chake cha Kifo

Wakati Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia kufariki, mkewe alianza kusema, “Ah, huzuni iliyoje!
Unaondoka katika ulimwengu huu!”

Bilaal (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu: “Inapendeza nani furaha iliyoje kwamba kesho tutakutana na marafiki zetu, tutakutana na Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na maswahaba zake.

About admin

Check Also

Mshale Wa Kwanza Kurushwa kwa Ajili Ya Uislamu

Sa’d (radhiya allaahu ‘anhu) alikuwa miongoni la kundi la Maswahabah ambao Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) …