Monthly Archives: February 2023

Chanzo cha nuru siku ya Qiyaama

عن ابن عمر رضي الله عنهما قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم زينوا مجالسكم بالصلاة علي فإن صلاتكم علي نور لكم يوم القيامة (الفردوس بمأثور الخطاب، الرقم: ٣٣٣٠، وإسناده ضعيف كما في القول البديع صـ ٢٧٨) Ibnu umar (radhiyallahu anhuma) ameripoti kwamba Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) …

Soma Zaidi »

Rakaa ya pili

1. Unapoinuka kutoka kwenye sajdah, kwanza inua paji la uso na pua, kisha viganja na mwisho magoti. 2. Ukiwa unasimama kwa ajili ya rakaa ya pili, chukua usaidizi kutoka ardhini kwa kuweka mikono yako miwili juu yake.[1] 3. Tekeleza rakaa ya pili kama kawaida (isipokuwa Dua-ul Istiftaah).[2] Qa’dah na Salaam …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) Yanaendana na Mapenzi ya Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)

Baada ya baba yake Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) kusilimu, Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) alizungumza na Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akisema: “Nakula kiapo kwa Yule aliye kuusieni haki! Ingawa nina furaha sana kuwa baba yangu amesilimu, furaha ambayo ningeipata kama mjomba wako, Abu Taalib, angesilimu, ingekuwa kubwa zaidi kuliko …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Quraish

لِإِيلفِ قُرَيْشٍ ‎﴿١﴾‏ اِلٰفِهِمْ رِحْلَةَ الشِّتَآءِ وَالصَّيْفِ ‎﴿٢﴾‏ فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هٰذَا الْبَيْتِ ‎﴿٣﴾‏ الَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوْعٍ وَاٰمَنَهُمْ مِّنْ خَوْفِۭ ‎﴿٤﴾‏ Kwa ajili ya usalama ya Maquraishi, usalama wanaoufurahia katika safari zao katika miezi ya za baridi na miezi za joto. Wamuabudu Mola wa Nyumba Takatifu (Ka’aba), ambaye amewaruzuku chakula wasipate njaa na anawalinda na …

Soma Zaidi »