Wakati wa vita vya Uhud, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa ameumizwa vibaya sana na adui na vipande viwili vya kofia yake vikapenya kwenye uso wake wa mubarak. Abu Bakr Siddiq (radhiyallahu ‘anhu) na Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) mara moja wakakimbia na kumsaidia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Abu Ubaidah (radhiyallahu ‘anhu) …
Soma Zaidi »Monthly Archives: October 2022
Kupata Rehma Kumi
عن أبي هريرة أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: من صلى علي واحدة صلى الله عليه عشرا (صحيح مسلم، الرقم: ٤٠٨) Sayyiduna Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Nabii (sallallahu ‘alaihi wassallam) amesema ” yoyote atakaye nitumia salaam mara moja, allah subhaana wata’alah atamtumia salaam (yaani atampa zawadi …
Soma Zaidi »Swalah Ya Wanaume
Nafasi ya juu ambayo Swalah inashikilia katika maisha ya Muislamu haihitaji maelezo yoyote. Ukweli kwamba kitakuwa ni kipengele cha kwanza ambacho mtu ataulizwa Siku ya Qiyaamah ni ushahidi tosha wa umuhimu wake. Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) amesema: إن أول ما يحاسب الناس به يوم القيامة من أعمالهم الصلاة قال …
Soma Zaidi »Wasiwasi wa Mwanamke wa Answaari Kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)
Katika vita vya Uhud, Waislamu walipata hasara kubwa na idadi kubwa kabisa yao waliuawa. Taarifa nzito zilipofika Madinah Munawwarah, wanawake hao walitoka nje ya nyumba zao wakiwa na shauku ya kutaka kujua undani wa vita hivyo. Alipouona umati mkubwa wa watu wamekusanyika mahali fulani, mwanamke mmoja waki Answaar aliuliza kwa …
Soma Zaidi »