Bustani ya Mapenzi

Kumtambua Allah Ta’ala

Allah Ta’al Ndiye Muumba na Mlinzi wa kila kiumbe katika ulimwengu. Kila kitu katika ulimwengu, iwe ni galaksi, mfumo wa jua, nyota, sayari, au ardhi na kila kilichomo ndani yake, ni viumbe vya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Yule anayetafakari juu ya ukubwa na uzuri wa viumbe hawa wote basi afikirie …

Soma Zaidi »