Namrood alikuwa mfalme dhalimu, dhalimu ambaye alikuwa amedai kuwa yeye ni mungu na akawaamuru watu kumwabudu. Ibrahim (alaihis salaam) alipokwenda kwa Namroud na kuumpa da’wah kumwaamini Allah Ta’ala, Namroud, kutokana na kiburi na ukaidi wake, hakukubali na akamuuliza Ibrahim (alaihis salaam) Mola wake anaweza kufanya nini. Ibrahim (alaihis salaam) akamwambia …
Soma Zaidi »Imaam Abu Hanifah (rahimahullah) na Maswali Matatu ya Mfalme wa Kirumi
Mfalme wa Warumi aliwahi kutuma kiasi kikubwa cha mali kwa Khalifa wa Waislamu. Kabla ya kuumpa Mwakilishi wake mali, Mfalme alimuamuru kuuliza maswali matatu kwa Maulamaa wa Waislamu. Mwakilishi wa Kirumi, kama alivyoagizwa, aliuliza yale maswali matatu kwa Maulamaa lakini hawakuweza kumpa majibu ya kuridhisha. Wakati huo, Imaam Abu Hanifa …
Soma Zaidi »Kumtambua Allah Ta’ala
Allah Ta’al Ndiye Muumba na Mlinzi wa kila kiumbe katika ulimwengu. Kila kitu katika ulimwengu, iwe ni galaksi, mfumo wa jua, nyota, sayari, au ardhi na kila kilichomo ndani yake, ni viumbe vya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Yule anayetafakari juu ya ukubwa na uzuri wa viumbe hawa wote basi afikirie …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu