Sahaabah

Kununua Kisima katika Jannah

Maswahaabah (radhiya llaahu ‘anhum) walipohamia Madinah Munawwarah, maji Yaliopatikana Madinah Munawwarah yalikuwa vigumu kwao kunywa kutokana na maji kuwa chungu. Hata hivyo, kulikuwa na Myahudi mmoja anayeishi Madinah Munawaarah ambaye alikuwa na kisima chenye maji matamu kilichoitwa Roomah. Alikuwa akiuza maji ya kisima chake kwa Maswahabah (radhiyallahu ‘anhum). Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akifurahishwa Na Mema Wakati wa Mwisho

Asubuhi wakati Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipochomwa kisu, kijana mmoja alimtembelea na kumwambia, “Ewe Ameer-ul-Momineen! Furahi kwa bashara kutoka kwa Allah Ta’ala! Wewe ni miongoni mwa Maswahaba wa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na wewe ni miongoni mwa waliosilimu siku za mwanzo kabisa. Baada ya hapo ukachaguliwa kuwa khalifa na ukafanya …

Soma Zaidi »

Matamanio Ya Umar (radhiya allaahu ‘anhu) Kuzikwa Pamoja Na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

  Katika dakika za mwisho baada ya Umar (radhiya allaahu ‘anhu) kuuawa kwa kuchomwa kisu, alimtuma mwanawe, Abdullah bin Umar (radhiya allaahu ‘anhuma), nyumbani kwa Aaishah (radhiyallahu ‘anha). Umar (radhiya Allaahu ‘anhu) alimuagiza akisema, “Mwambie kwamba Umar anatoa salaam. Usiseme kwamba Ameer-ul-Mu’mineen anafikisha salaam, kwa sababu leo mimi sio Amirul-Mu’mineen …

Soma Zaidi »

Unyenyekevu Wa Umar (radhiya allaahu ‘anhu)

Miswar bin Makhramah (radhiya allaahu ‘anhu) anaeleza kwamba wakati Umar (radhiya allaahu ‘anhu) alichomwa kisu, akaanza kuhuzunika na akawa na wasiwasi mkubwa juu ya ummah. Abdullah bin Abbaas (radhiya allaahu ‘anhuma) akamfariji na kusema: “Ewe Ameer-ul-Mu’mineen! Hakuna haja ya wewe kuhuzunika. Ulibakia katika kundi la Rasulullah (sallallahu’alaihi wasallam) na ukatimiza …

Soma Zaidi »

Fikra Ya Umar (radhiyallahu ‘anhu) kwa ajili ya Swalaah

Asubuhi ambao Umar (radhiya allaahu ‘anhu) alichomwa kisu, Miswar bin Makhramah (radhiyallahu ‘anhu) alikuja kumuona. Alipoingia, alimkuta Umar (radhiya allaahu ‘anhu) amefunikwa akiwa na karatasi na kupoteza fahamu. Miswar (radhiya allaahu ‘anhu) akawauliza wale waliokuwepo pale, “yukoje?” Wakajibu, “Hana fahamu kama unavyoona.” Kwa vile kulikuwa hakuna muda mwingi uliobakia kwa …

Soma Zaidi »

Umar (radhiya alaahu ‘anhu) Akiwaheshimu Azwaaj-ul-Mutahharaat (radhiyallahu ‘anhun)

Aslam (rahimahullah), mtumwa wa Umar (radhiyallahu ‘anhu), anaripoti kwamba Umar (radhiyallahu ‘anhu) alikuwa na sahani tisa maalum zilizohifadhiwa kwa ajili ya kutuma zawadi kwa Azwaaj-ul-Mutahharaat (wakezake na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) na mama wa ummah. Aslam (rahimahullah) alitaja kwamba wakati wowote chakula kizuri, tunda au nyama inapomjia Umar (radhiya allaahu …

Soma Zaidi »

Umar (radhiyallahu ‘anhu) Akijikumbusha Na Kuhesabiwa Huko Akhera

Licha ya Allah Ta’ala kumbariki Umar (radhiyallahu ‘anhu) kuwa miongoni mwa watu kumi walioahidiwa Jannah hapa duniani, na kuwa khalifa wa pili wa Uislamu, alikuwa mnyenyekevu mno na aliogopa sana kuwajibika mbele ya Allah Ta’ala Siku ya Qiyaamah. Imeripotiwa kwamba wakati mmoja, Umar (radhiyallahu ‘anhu) aliingia kwenye shamba fulani la …

Soma Zaidi »

Ali (radhiyallahu ‘anhu) Anatamani Kukutana na Allah Ta’ala akiwa na Vitendo vya Umar (radhiyallahu ‘anhu)

Ali (radhiyallahu ‘anhu) Anatamani Kukutana na Allah Ta’ala akiwa na Vitendo vya UmarAbdullah bin Abbaas (radhiya allaahu ‘anhuma) anataja: Nilikuwepo wakati mwili wa Umar (radhiya allaahu ‘anhu) ulipowekwa kwenye jeneza baada ya kifo chake cha kishahidi. Watu walianza kuuzunguka mwili wake. Wakati wakisubiri mwili wake unyanyuliwe na kuzikwa, walikuwa wakimswalia …

Soma Zaidi »

Furaha Ya Umar (Radhiyallaahu ‘anhu)

Umar (Radhiyallaahu ‘anhu) aliwahi kumwambia Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) (mjomba wa Rasulullah sallallahu ‘alaihi wasallam)) “nilikuwa na furaha zaidi na Uislamu waku kuliko Uislamu wa baba yangu, kwa sababu Uislamu wako ulileta furaha zaidi kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) kuliko Uislamu wa baba yangu.” (Sharhu Ma’aanil Aathaar 3/321)

Soma Zaidi »