Qataadah (rahimahullah) anasimulia kwamba Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa akisema, (kwa khofu ya kusimama mbele ya Allah Ta’ala Siku ya Qiyaamah na kutoa hesabu ya matendo yake): وددت أني كنت كبشا، فيذبحني أهلي، فيأكلون لحمي، ويحسون مرقي. “Jinsi ninavyotamani ningekuwa kondoo tu. Wamiliki wangu wangenichinja, kula nyama yangu na …
Soma Zaidi »Kujiepusha Kwa Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Na Utajiri wa Dunia
Wakati Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipotoka Madinah Munawwarah kwenda Baitul Muqaddas ili kuliteka, alisimama Shaam kukutana na Maswahaba waliokuwa wakiishi huko. Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliokuwa wakiishi Shaam na kutawala Shaam walipokuja kukutana naye, akawauliza, “Ndugu yangu yuko wapi?”maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakauliza: “Unamtaja nani?” Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, …
Soma Zaidi »Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akimuamini Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwahi kufika kwenye mipaka ya Shaam (Syria) alipojilishwa habari ya thauni iliyowapata watu wa Shamu. Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema: “kama kifo kitanifikia wakati Abu Ubaidah bin Jarrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) bado yupo hai, basi nitamchagua yeye kuwa khalifah baada yangu, na ikibidi Allah Ta’ala aniulize, …
Soma Zaidi »Ukarimu Na Zuhd (Kujiepusha na dunia) Wa Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Wakati mmoja, Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alichukua sarafu za dhahabu mia nne, akaziweka kwenye mfuko na akampa mtumishi wake akisema, “Nenda kwa Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘anhu) na umpe fedha hizi. Baada ya hapo, kaa hapo kwa muda ili kuona atafanya nini na pesa (na urudi kunijulisha).” Mtumishi alichukua mfuko wa …
Soma Zaidi »Matendo Ya Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Yanwafikiana na Quran Majeed
Katika vita vya Badr, baba yake Abu Ubaidah aliendelea kumfuatilia akijaribu kumuua. Hata hivyo, yeye aliendelea kumkwepa baba yake ili asikutani naye na kumuua. Lakini, baba yake alipong’ang’ania na mwisho wakakutana na hapakuwa na njia nyingine ya kuokoa maisha ya baba yake isipokua kumuua baba yake, alikwenda mbele na kumuua. …
Soma Zaidi »Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Apoteza Meno Yake Katika Vita Vya Uhud
Wakati wa vita vya Uhud, Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alishambuliwa na maadui na viungo viwili vya kofia yake ya chuma vikapenya kwenye uso wake wa baraka. Abu Bakr Siddiq (Radhiya Allaahu ‘anhu) na Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) mara moja wakakimbia kwenda kumsaidia Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Abu Ubaidah (Radhiya …
Soma Zaidi »Tamaa Ya Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) Kubarikiwa Na Chumba Kilichojaa Na Watu Kama Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakati fulani alikua amekaa pamoja na kundi la watu alipokuwa akiwahutubia na kuwauliza swali lifuatalo, “Niambieni nyinyi watu mnatamani kitu gani!” Mtu mmoja alisema: “mimi natamani chumba hiki kizima kijazwe na dirham (sarafu za fedha) na nizitoe zote katika Njia ya Allah Ta’ala.” Umar (Radhiya Allaahu …
Soma Zaidi »Uaminifu Mkubwa Wa Abu Ubaidah bin Jarrah (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Baada ya kusilimu, watu wa Najraan walikuja kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na wakamwomba awapelekee mtu mwaminifu (anayeweza kuwafundisha Dini). Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akawaambia: لأبعثن إليكم رجلا أمينا حق أمين “Nitawatumia mtu mwaminifu, hakika ni mwaminifu sana.” Katika hatua hiyo, Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliokuwepo wote walitamani kuwa wapokezi …
Soma Zaidi »Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akiwapa Watoto Zake Majina Baada Ya Mashahidi Wa Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum)
Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwahi kutaja: “Hakika Talha bin ‘Ubaidillah (Radhiya Allaahu ‘anhu) anatoa majina ya Ambiyaa (‘Alaihimus salaam) kwa watoto zake, ambapo anajua kwamba hakutokuwa Nabii atakayekuja baada ya Nabii Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam). Kisha Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) akasema: “Natoa majina ya mashahidi (wa Maswahaabah) kwa wanangu ili …
Soma Zaidi »Ushujaa wa Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Siku ya (vita) vya Yarmuk, Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walimwambia Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu): “Kwa nini huwashambulia maadui kwa ijtihada zote, nasi tutakufuata katika kuwashambulia ?” Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, “Najua kwamba nikiwashambulia na ijtihada zote, nyinyi hamtaungana nami. Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) wakasema, “Hapana, tutaungana nawe.” Zubair (Radhiya …
Soma Zaidi »