Sahaabah

Kumcha Allah Taala

Qataadah (rahimahullah) anasimulia kwamba Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa akisema, (kwa khofu ya kusimama mbele ya Allah Ta’ala Siku ya Qiyaamah na kutoa hesabu ya matendo yake): وددت أني كنت كبشا، فيذبحني أهلي، فيأكلون لحمي، ويحسون مرقي. “Jinsi ninavyotamani ningekuwa kondoo tu. Wamiliki wangu wangenichinja, kula nyama yangu na …

Soma Zaidi »

Kujiepusha Kwa Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Na Utajiri wa Dunia

Wakati Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipotoka Madinah Munawwarah kwenda Baitul Muqaddas ili kuliteka, alisimama Shaam kukutana na Maswahaba waliokuwa wakiishi huko. Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliokuwa wakiishi Shaam na kutawala Shaam walipokuja kukutana naye, akawauliza, “Ndugu yangu yuko wapi?”maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakauliza: “Unamtaja nani?” Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, …

Soma Zaidi »

Tamaa Ya Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) Kubarikiwa Na Chumba Kilichojaa Na Watu Kama Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakati fulani alikua amekaa pamoja na kundi la watu alipokuwa akiwahutubia na kuwauliza swali lifuatalo, “Niambieni nyinyi watu mnatamani kitu gani!” Mtu mmoja alisema: “mimi natamani chumba hiki kizima kijazwe na dirham (sarafu za fedha) na nizitoe zote katika Njia ya Allah Ta’ala.” Umar (Radhiya Allaahu …

Soma Zaidi »

Uaminifu Mkubwa Wa Abu Ubaidah bin Jarrah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Baada ya kusilimu, watu wa Najraan walikuja kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) na wakamwomba awapelekee mtu mwaminifu (anayeweza kuwafundisha Dini). Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) akawaambia: لأبعثن إليكم رجلا أمينا حق أمين “Nitawatumia mtu mwaminifu, hakika ni mwaminifu sana.” Katika hatua hiyo, Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliokuwepo wote walitamani kuwa wapokezi …

Soma Zaidi »

Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akiwapa Watoto Zake Majina Baada Ya Mashahidi Wa Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum)

Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwahi kutaja: “Hakika Talha bin ‘Ubaidillah (Radhiya Allaahu ‘anhu) anatoa majina ya Ambiyaa (‘Alaihimus salaam) kwa watoto zake, ambapo anajua kwamba hakutokuwa Nabii atakayekuja baada ya Nabii Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam). Kisha Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) akasema: “Natoa majina ya mashahidi (wa Maswahaabah) kwa wanangu ili …

Soma Zaidi »

Ushujaa wa Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Siku ya (vita) vya Yarmuk, Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walimwambia Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu): “Kwa nini huwashambulia maadui kwa ijtihada zote, nasi tutakufuata katika kuwashambulia ?” Zubair (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, “Najua kwamba nikiwashambulia na ijtihada zote, nyinyi hamtaungana nami. Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) wakasema, “Hapana, tutaungana nawe.” Zubair (Radhiya …

Soma Zaidi »