Salaam Kwa Nabii ﷺ

Kupata Thawabu Sabini

Sayyidina Abdullah Bin Amr Bin Aas (radhiyallahu 'anhuma) alitowa ripoti, "Yoyote atakaye tuma salaam kwa Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) mara moja Allah subhaana wata'alah na malaika wake watatuma sabini rehema na baraka juu yake kwa kulipa salaam moja yake. Kwahivyo yoyote atakaye taka kuzidisha kumsaliya Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) azidishe kumsaliya Nabii. Na yoyote atakaye kuwa ataki kuzidisha kumsaliya Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) asizidishe kumsaliya Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) (yaani kama anataka kupata ujira mwingi,ni lazima azidishe kumsaliya Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam)).

Soma Zaidi »

Kupata Rehma Kumi

Sayyiduna Abu Huraira (radhiyallahu 'anhu) ameripoti kuwa Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) amesema " yoyote atakaye nitumia salaam mara moja, allah subhaana wata'alah atamtumia salaam (yaani atampa zawadi na atamfariji na rehema zake) kwake mara kumi" 

Soma Zaidi »

Bashara Nzuri Kutoka Kwa Allah( Subhaanahu Wata’alah) Kwa Wale Ambao Wanamsalia Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam)

Hazrat Abdur Rahmaan Bin Auf (radhiyallahu 'anhu) alitowa taarifa kuwa kuna wakati mmoja, nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) alitoka nyumbani kwake na mimi nikamfuata, mpaka akaingia kwenye shamba la tende na hakashuka chini kusujudu. Nabii (sallallahu 'alaihi wassallam) alifanya sajida ndefu mpaka ni kaogopa kuwa mwenyezi mungu tayari amesha mchukuwa.

Soma Zaidi »