Monthly Archives: September 2023

Qa’dah Na Salaam

7. Ikiwa ni qa’dah ya mwisho, basi soma tashahhud, Swalawaat Ebrahimiyyah na baada ya hapo fanya dua. Swalawaat Ibrahimiyyah ni ifuatavyo: اَللّٰهُمَّ صَلِّ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا صَلَّيْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ  وَبَارِكْ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا بَارَكْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ فِيْ الْعَالَمِيْنَ …

Soma Zaidi »

Hayaa ya ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu)

‘Aaishah (radhiya allaahu ‘anha) anasimulia yafuatayo: Wakati mmoja, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa amelala chini nyumbani kwangu na kanzu yake ilihamishwa kidogo kutoka eneo la paja lake au goti lake, ingawa paja lake na goti yalifunikwa na kikoyi chake. Wakati huo, Abu Bakr (radhiya allaahu ‘anhu) aliomba ruhusa ya kuingia. …

Soma Zaidi »