Monthly Archives: August 2023

Tafseer Ya Surah Nasr

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّهِ والْفَتْحُ ‎﴿١﴾‏ وَرَأَيْتَ النَّاسَ يَدْخُلُونَ فِي دِينِ اللَّهِ أَفْوَاجًا ‎﴿٢﴾‏ فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَاسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُ كَانَ تَوَّابًا ‎﴿٣﴾‏ (Ewe Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)) Itakapokuja nusura ya Allah Ta’ala na ushindi (utekaji wa Makka Mukarramah) na ukawaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) kwa wingi, …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 6

18. Haijuzu kwa mtu kusoma sehemu yoyote ya Quraan Takatifu au kuchukua jina la Allah Ta’ala akiwa chooni. Vile vile ikiwa mtu ana pete au cheni ambayo juu yake imeandikwa jina la Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) au aya yoyote ya Quraan Majeed, basi aiondoe kabla ya kuingia chooni. Anas (radhiyallahu …

Soma Zaidi »

Ruku na I’tidaal

7. Soma tasbeeh ifuatayo mara tatu au idadi yoyote isiyo ya kugawanyika: سُبْحَانَ رَبِّيَ الْعَظِيْم Utukufu ni wa Mola wangu Mkubwa. 8. Baada ya kusoma tasbihi, simama kutoka kwenye rukuu huku ukisema tasmee’: سَمِعَ اللهُ لِمَنْ حَمِدَهْ Allah Ta’ala Humsikia mwenye kumsifu. 9. Inua mikono (kama ilivyoelezwa katika takbeeratul ihraam) …

Soma Zaidi »