Wakati mmoja, kipindi cha Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), kundi la Maswahabah (radhiyallahu anhum) kutoka kabila la Banu Al-Ash’ar walisafiri kutoka Yemen hadi Madinah Munawwarah kwa ajili ya hijrah. Walipofika kwenye mji uliobarikiwa wa Madinah Munawwarah, walikuta kwamba chakula chao walichokuja nacho kilikuwa kimekwisha. Hivyo, waliamua kumtuma mmoja wa masahaba kwa …
Soma Zaidi »Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akitumwa Na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Kusawazisha Makaburi, Kuvunja Masanamu na Kufuta Picha
Ali (radhiya allaahu ‘anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alihudhuria janaazah la Sahaabi fulani. Baada ya hapo akawahutubia maswahaabah (radhiya allaahu ‘anhum) waliokuwepo na akasema: “Ni nani miongoni mwenu atakayerejea Madinah Munawwarah, na popote atakapoona sanamu yoyote atalivunja, na popote atakapoliona kaburi lililoinuliwa (juu ya ardhi, …
Soma Zaidi »Watu Ambao Dua Zao Zinakubaliwa
Mtu Mgonjwa Umar (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Unapokutana na mgonjwa basi muombe akuombee dua, kwa sababu dua yake ni kama dua ya Malaika (yaani kwa ajili ya ugonjwa huo madhambi zake yamesamehewa, kwa hiyo anafanana na Malaika kwa kutokuwa na madhambi, na ndo maana dua …
Soma Zaidi »Mjadala kati ya Ibrahim (alaihis salaam) na Namrood
Namrood alikuwa mfalme dhalimu, dhalimu ambaye alikuwa amedai kuwa yeye ni mungu na akawaamuru watu kumwabudu. Ibrahim (alaihis salaam) alipokwenda kwa Namroud na kuumpa da’wah kumwaamini Allah Ta’ala, Namroud, kutokana na kiburi na ukaidi wake, hakukubali na akamuuliza Ibrahim (alaihis salaam) Mola wake anaweza kufanya nini. Ibrahim (alaihis salaam) akamwambia …
Soma Zaidi »Imani Madhubuti Ya Ali (radhiya allaahu ‘anhu) katika Ahadi ya Allah Ta’ala
Imepokewa kwamba siku moja, ombaomba mmoja alikuja kwa Ali (radhiya allaahu ‘anhu) na kuomba kitu. Ali (radhiya allaahu ‘anhu) alimgeukia mmoja wa wanawe wawili, ima Hasan au Husein (radhiya allaahu ‘anhuma), na akamwambia, “Nenda kwa mama yako na umwambie kwamba nilisema, ‘Nilihifadhi dirham sita kwako, basi nipe dirhamu moja katika …
Soma Zaidi »Watu Ambao Dua Zao Zinakubaliwa
Wazazi, Wasafiri na Wenye Kudhulumiwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Dua tatu ni kwamba bila shaka zitakubaliwa; Dua ya baba (au mama kwa mtoto wao), Dua ya musaafir (msafiri) na dua ya mwenye kudhulumiwa.”[1] Mwenye Kufunga Na Imaamu Muadilifu Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah …
Soma Zaidi »Uadilifu Wa Ali (radhiya allaahu ‘anhu)
Ali bin Rabi’ah anasimulia kwamba wakati mmoja, Ja’dah bin Hubairah (radhiya allaahu ‘anhu) alikuja kwa Ali (radhiya allaahu ‘anhu) na akasema, “Ewe Ameer-ul-Mu’mineen! Tunakuta watu wawili wanakujia (na ugomvi wao). Moja kati ya hao wawili wewe ni kipenzi zaidi kwake kuliko hata familia yake na mali yake, alafu yule mwingine …
Soma Zaidi »Mapenzi Ya Dhati Ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Kwa Ali (radhiya allaahu ‘anhu)
Ali (radhiya allaahu ‘anhu) anaripoti: Kuna wakati moja, nilikuwa mgonjwa. Nikiwa mgonjwa, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuja kunitembelea. Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alipoingia nyumbani kwangu, nilikuwa nimejilaza. Aliponiona niko katika hali hio, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alinikaribia na kuvua kitamba aliyokuwa ameivaa kisha akanifunika nacho. Baada ya hapo, alipoona udhaifu …
Soma Zaidi »Imaam Abu Hanifah (rahimahullah) na Maswali Matatu ya Mfalme wa Kirumi
Mfalme wa Warumi aliwahi kutuma kiasi kikubwa cha mali kwa Khalifa wa Waislamu. Kabla ya kuumpa Mwakilishi wake mali, Mfalme alimuamuru kuuliza maswali matatu kwa Maulamaa wa Waislamu. Mwakilishi wa Kirumi, kama alivyoagizwa, aliuliza yale maswali matatu kwa Maulamaa lakini hawakuweza kumpa majibu ya kuridhisha. Wakati huo, Imaam Abu Hanifa …
Soma Zaidi »Ushujaa Wa Ali (radhiyallahu ‘anhu) Katika Vita Vya Khaibar
Katika tukio la Khaibar, baada ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kukabidhi bendera ya Uislamu kwa Ali (radhiya allaahu anhu), Ali (radhiyallahu anhu) aliliongoza jeshi la Maswahaabah (radhiyallahu anhu) hadi kwenye ngome ya Qamoos. Walipokaribia ngome, shujaa mmoja wa kiyahudi, jina lake Marhab, alitoka ili kuwapinga (waislamu). Marhab alikuwa shujaa maarufu …
Soma Zaidi »