{"id":2776,"date":"2024-11-06T06:08:33","date_gmt":"2024-11-06T04:08:33","guid":{"rendered":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2776"},"modified":"2024-12-05T09:26:01","modified_gmt":"2024-12-05T07:26:01","slug":"jumuah","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2776","title":{"rendered":"Jumu\u2019ah"},"content":{"rendered":"<p>Siku ya Jumu\u2019ah ina umuhimu mkubwa katika Uislamu. Ni miongoni mwa neema kubwa za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;alah) juu ya ummah huu ni sifa adhimu ya Uislamu.<\/p>\n<p>Amesema Mtume (sallallahu alaihi wasallam):<\/p>\n<p>\u201cSiku ya Jumu\u2019ah ni sayyidul ayyaam (yaani kiongozi wa siku zote na ni siku kubwa zaidi (kuliko siku zingine ndani ya wiki) mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;alah). Ni fadhila kubwa kuliko siku ya Eid Ul Adha na siku ya Eid Ul Fitr mbele ya Allah Ta&#8217;ala.<\/p>\n<p>\u201cKuna matukio matano maalum ambayo ni makhususi kwa siku ya Jumu\u2019ah. (Kwanza,) katika siku hii, Allah Ta\u2018ala alimuumba Nabii Aadam (alayhis salaam). (Pili,) Allah Ta\u2019ala alimtuma Nabii Aadam (alayhis salaam (na Hawaa alayhas salaam) duniani katika siku hii. (Tatu,) siku hii, Nabii Aadam (alayhis salaam) alifariki (na akarudishwa kwenye makazi yake ya asili). (Nne,) katika siku ya Jumu\u2019ah, kuna muda maalum (wa kukubaliwa) ambapo dua yoyote atakayomba mja kwa Allah Ta\u2019ala, itajibiwa dua yake, maadamu haombi kitu chochote cha haramu. (Tano,) siku hii Qiyaamah itatokea.<\/p>\n<p>\u201cHakuna Malaika aliye karibu na Allaah, wala mbingu wala ardhi, wala mlima au bahari, isipokuwa anaiogopa Siku ya Jumu\u2019ah (kwa sababu ya kuwa Qiyaamah kitatokea siku hii).\u201d<sup class=\"\" style=\"color: #39485f;\">[1]<\/sup><\/p>\n<p>Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) ametaja kuwa siku ya Jumu\u2019ah ni siku yenye mwanga, na usiku wa Jumu\u2019ah ni usiku yenye nuru.<sup class=\"\" style=\"color: #39485f;\">[2]<\/sup><\/p>\n<p>Katika Hadith, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) ameuusia Ummah kuzidisha salaa na salaam juu yake siku ya Jumu\u2019ah, kwa sababu hii itakuwa ni sababu ya msamaha wao na njia ya kupata dua zake.<\/p>\n<p>Umar bin Khattaab (radhiyallahu anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu alaihi wasallam) alisema: \u201czidisheni kunitumia salaa na salaam katika usiku na mchana wa Jumu\u2019ah kwa sababu salaam zenu zinaletwa kwangu. Kisha nakuombeeni dua kwa Allah Ta\u2019ala na kumuomba akusameheni madhambi yenu.\u201d<sup class=\"\" style=\"color: #39485f;\">[2]<\/sup><\/p>\n<hr \/>\n<p class=\"\" dir=\"RTL\" style=\"font-family: 'Traditional Arabic'; font-size: 14pt;\">[1] \u0633\u0646\u0646 \u0627\u0628\u0646 \u0645\u0627\u062c\u0629\u060c \u0627\u0644\u0631\u0642\u0645: 1084\u060c \u0648\u0642\u0627\u0644 \u0627\u0644\u0639\u0644\u0627\u0645\u0629 \u0627\u0644\u0628\u0648\u0635\u064a\u0631\u064a \u0631\u062d\u0645\u0647 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0641\u064a \u0645\u0635\u0628\u0627\u062d \u0627\u0644\u0632\u062c\u0627\u062c\u0629 1\/129: \u0625\u0633\u0646\u0627\u062f\u0647 \u062d\u0633\u0646<\/p>\n<p class=\"\" dir=\"RTL\" style=\"font-family: 'Traditional Arabic'; font-size: 14pt;\">[2] \u0627\u0644\u0642\u0631\u0628\u0629 \u0644\u0627\u0628\u0646 \u0628\u0634\u0643\u0648\u0627\u0644\u060c \u0627\u0644\u0631\u0642\u0645: \u0661\u0660\u0667\u060c \u0648\u0633\u0646\u062f\u0647 \u0636\u0639\u064a\u0641 \u0643\u0645\u0627 \u0641\u064a \u0627\u0644\u0645\u0642\u0627\u0635\u062f \u0627\u0644\u062d\u0633\u0646\u0629\u060c \u0627\u0644\u0631\u0642\u0645: \u0661\u0664\u0668<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Siku ya Jumu\u2019ah ina umuhimu mkubwa katika Uislamu. Ni miongoni mwa neema kubwa za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;alah) juu ya ummah huu ni sifa adhimu ya Uislamu. Amesema Mtume (sallallahu alaihi wasallam): \u201cSiku ya Jumu\u2019ah ni sayyidul ayyaam (yaani kiongozi wa siku zote na ni siku kubwa zaidi (kuliko siku zingine ndani ya wiki) mbele &hellip;<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":603,"comment_status":"closed","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[34,14],"tags":[],"class_list":["post-2776","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","","category-jumuah","category-sunna-na-adabu"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2776","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2776"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2776\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2832,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2776\/revisions\/2832"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/603"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2776"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2776"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2776"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}