{"id":2708,"date":"2024-09-18T12:56:37","date_gmt":"2024-09-18T10:56:37","guid":{"rendered":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2708"},"modified":"2024-10-16T06:27:44","modified_gmt":"2024-10-16T04:27:44","slug":"sunnat-na-adabu-za-kuamkiana-kutoa-salaam-3","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2708","title":{"rendered":"Sunnat Na Adabu Za Kuamkiana (Kutoa Salaam) 3"},"content":{"rendered":"<p>8. Unapojibu salamu, inajuzu kwako kujibu kwa salamu ambayo ni sawa na salamu iliyopokelewa. Lakini, ukijibu kwa salaam ndefu zaidi itakuwa bora na yenye thawabu zaidi. Kwa mfano, kama ulisalimiwa kwa maneno \u201cAssalaamu alaikum\u201d, basi unaweza kujibu kwa kusema \u201cWa alaikumus salaam\u201d. Hata hivyo, ni bora na yenye thawabu zaidi kwako kusema \u201cWa alaikumus salaam wa rahmatullah\u201d au \u201cWa alaikumus salaam wa rahmatullahi wa barakaatuhu.\u201d<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Allah Ta\u2019ala ametaja ndani ya Qur-aan Majeed, \u201cNa mtakapokuwa mmesalimiwa kwa salamu, basi jibu salamu kwa salamu bora kuliko hiyo au rudisha (rudisha salamu kama uliosalimiwa).<sup class=\"\" style=\"color: #39485f;\">[1]<\/sup><\/em><\/p>\n<p>9. Maneno ya salaam yanaishia na \u201cWa barakaatuhu\u201d. Mtu asipaswi kuongeza maneno mengine baada ya \u201cWa barakaatuhu\u201d.<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Muhammad bin Amr bin Ataa\u2019 (rahimahullah) anasimulia: Wakati mmoja, nilikaa pamoja na Abdullah bin Abbaas (radhiyallahu anhuma) pindi mtu mmoja kutoka Yemen alipoingia kwenye mkusanyiko na akatoa salaam akisema: \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuhu,\u201d kisha akaongeza maneno machache kwenye salamu. Wakati huo, Abdullah bin Abbaas alikuwa amepoteza uwezo wa kuona, hivyo akauliza, \u201cMtu huyu ni nani?\u201d Watu wake wakasema: \u201cHuyu ndiye yule mtu kutoka Yemen ambaye anakuwa akihudhuria mikusanyiko wako.\u201d Walimuelezea hadi Abdullah bin Abbaas (radhiyallahu anhuma) akamtambua. Abdullah bin Abbaas (radhiyallahu anhuma) kisha akasema, &#8220;Salaam inaisha na barakah (yaani kwa kusema wabaraakatuhu).&#8221;<sup class=\"\" style=\"color: #39485f;\">[2]<\/sup><\/em><\/p>\n<p>10. Unapojibu salamu ya mtu, jibu salamu kwa maneno na si kwa ishara tu ya mkono au kutikisa kichwa.<\/p>\n<hr \/>\n<p class=\"\" dir=\"RTL\" style=\"font-family: 'Traditional Arabic'; font-size: 14pt;\">[1] \u0633\u0648\u0631\u0629 \u0627\u0644\u0646\u0633\u0627\u0621: 86<\/p>\n<p class=\"\" dir=\"RTL\" style=\"font-family: 'Traditional Arabic'; font-size: 14pt;\">[2] \u0627\u0644\u0645\u0624\u0637\u0627 \u0644\u0644\u0625\u0645\u0627\u0645 \u0645\u062d\u0645\u062f\u060c \u0635\u0640 385<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>8. Unapojibu salamu, inajuzu kwako kujibu kwa salamu ambayo ni sawa na salamu iliyopokelewa. Lakini, ukijibu kwa salaam ndefu zaidi itakuwa bora na yenye thawabu zaidi. Kwa mfano, kama ulisalimiwa kwa maneno \u201cAssalaamu alaikum\u201d, basi unaweza kujibu kwa kusema \u201cWa alaikumus salaam\u201d. Hata hivyo, ni bora na yenye thawabu zaidi kwako kusema \u201cWa alaikumus salaam &hellip;<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":2632,"comment_status":"closed","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[33,14],"tags":[],"class_list":["post-2708","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","","category-salaam","category-sunna-na-adabu"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2708","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2708"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2708\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2739,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2708\/revisions\/2739"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/2632"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2708"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2708"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2708"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}