{"id":2683,"date":"2024-09-11T07:44:09","date_gmt":"2024-09-11T05:44:09","guid":{"rendered":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2683"},"modified":"2024-09-12T07:24:20","modified_gmt":"2024-09-12T05:24:20","slug":"sunnat-na-adabu-za-kuamkiana-kutoa-salaam-2","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2683","title":{"rendered":"Sunnat Na Adabu Za Kuamkiana (Kutoa Salaam) 2"},"content":{"rendered":"<p>4. Unatakiwa kutoa salaam kwa kusema \u201cAssalaamu alaikum\u201d unaweza pia kutoa salaam kwa kusema \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullah\u201d au \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuhu\u201d. Kwa kutoa salaam ndefu, utapata thawabu zaidi.<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Imraan bin Husein (radhiyallahu anhu) anasimulia kwamba mtu mmoja alikuja kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na akamsalimia akisema: \u201cAssalaamu alaikum.\u201d Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akajibu salaam yake kisha huyo mtu akakaa kwenye mkusanyiko. Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akasema: \u201cAmepata thawabu kumi.\u201d Baadaye, mtu mwingine alikuja kwa. <\/em><em>Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na akamsalimia akisema: \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullah.\u201d Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akajibu salamu na mtu huyo akaketi kwenye mkusanyiko. Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akasema, \u201cAmepata thawabu ishirini.\u201d Baada ya hapo, mtu mwingine alikuja kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na akamsalimia akisema: \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh.\u201d Mtume (sallallahu alaihi wasallam) akamjibu na mtu huyo akakaa pia kwenye mkusanyiko. Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akasema: \u201cAmepata thawabu thalathini.\u201d<sup class=\"\" style=\"color: #39485f;\">[1]<\/sup><\/em><\/p>\n<p>5. Mwislamu akikusalimu kwa salaam, itakuwa ni lazima wewe kujibu salamu, isipokuwa kama una udhuru ya halali k.m. unakula, unasoma Quran Majeed n.k. Ingawa si lazima kwako kujibu salamu katika hali hizi, inajuzu kwako kujibu.<\/p>\n<p>6. Ni makrooh kumsalimia mtu anayehusika na shughuli yoyote ya Deeni au akiwa anakula n.k.<\/p>\n<p>7. Usitoe salaam kwa wasio maharimu (watu ambao unaweza kuwaowa). Ikiwa mwanamke Mahram akamsalimia mwanamume, basi akiwa ni mzee ambaye hakuna khofu ya fitna juu yake, basi mtu anaweza kumjibu salamu. Lakini, ikiwa ni mschana anayetoa salamu, basi mtu hatakiwi kujibu salamu kwa maneno. Bali mtu anaweza kujibu salamu ndani ya moyo wake.<\/p>\n<p><a href=\"https:\/\/sw.alislaam.com\/wp-content\/uploads\/2024\/09\/AUD-20240911-WA0000.aac\">AUD-20240911-WA0000<\/a><\/p>\n<hr \/>\n<p class=\"\" dir=\"RTL\" style=\"font-family: 'Traditional Arabic'; font-size: 14pt;\">[1] \u0633\u0646\u0646 \u0623\u0628\u064a \u062f\u0627\u0648\u062f\u060c \u0627\u0644\u0631\u0642\u0645: 5197\u060c \u0633\u0646\u0646 \u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a\u060c \u0627\u0644\u0631\u0642\u0645: 2689 \u0648\u0642\u0627\u0644 \u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a: \u0647\u0630\u0627 \u062d\u062f\u064a\u062b \u062d\u0633\u0646 \u063a\u0631\u064a\u0628 \u0645\u0646 \u0647\u0630\u0627 \u0627\u0644\u0648\u062c\u0647<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>4. Unatakiwa kutoa salaam kwa kusema \u201cAssalaamu alaikum\u201d unaweza pia kutoa salaam kwa kusema \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullah\u201d au \u201cAssalaamu alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuhu\u201d. Kwa kutoa salaam ndefu, utapata thawabu zaidi. Imraan bin Husein (radhiyallahu anhu) anasimulia kwamba mtu mmoja alikuja kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na akamsalimia akisema: \u201cAssalaamu alaikum.\u201d Mtume (Sallallahu alaihi &hellip;<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":2632,"comment_status":"closed","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[33,14],"tags":[],"class_list":["post-2683","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","","category-salaam","category-sunna-na-adabu"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2683","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2683"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2683\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2693,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2683\/revisions\/2693"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/2632"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2683"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2683"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2683"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}