{"id":2609,"date":"2024-08-14T07:26:43","date_gmt":"2024-08-14T05:26:43","guid":{"rendered":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2609"},"modified":"2024-08-14T09:45:22","modified_gmt":"2024-08-14T07:45:22","slug":"sunnah-na-adabu-za-kuwatembelea-marehemu-4","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2609","title":{"rendered":"Sunnah Na Adabu Za Kuwatembelea Marehemu 4"},"content":{"rendered":"<p>14. Wasaidie waliofiwa kwa kuwapelekea chakula nyumbani kwao. Mtume (Sallallahu &#8216;alaihi wasallam) amewafundisha Maswahaba (radhiyallahu &#8216;anhum) kuonesha huruma kwa wafiwa na kuwasaidia wakati wa huzuni zao. Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) aliwahimiza Maswahaba (Radhiya Allaahu &#8216;anhum) kuandaa chakula na kupeleka kwa ajili ya familia, kwa sababu kupata msiba huu itakuwa vigumu kwao kutekeleza mahitaji yao.<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Abdullah bin Ja\u2019far (Radhiya Allaahu &#8216;anhu) anasimulia, \u201cWakati habari za kufariki kwa Ja\u2019far (Radhiya Allaahu &#8216;anhu) ilipofika (yaani habari za kifo chake cha kishahidi katika Vita vya Muutah), Mtume (Sallallahu &#8216;alaihi wasallam) aliwaambia Maswahabah (Radhiya Allaahu &#8216;anhu), \u2018Waandalieni familia ya Ja\u2019far (Radhiya Allaahu &#8216;anhu) chakula, kwa sababu msiba umewasibu ambao umewashughulisha (kutekeleza haja zao).)\u2019\u201d<\/em><\/p>\n<p>15. Shari\u2019ah haijabainisha aina yoyote maalum au rangi ya nguo inayopaswa kuvaliwa na mfiwa.<\/p>\n<p>16. Desturi ya wageni wanaokuja siku ya tatu, saba, siku ya kumi na siku ya arobaini kwenye &#8220;khitma au kukhitimu&#8221; n.k. ni upotovu na bid&#8217;aa na inapaswa kuachwa.<\/p>\n<p>17. Chakula haipaswi kutolewa nyumbani kwa marehemu wale wanaokuja kufanya ta\u2019ziya. Kuhudumia chakula nyumbani ni kitendo cha upotovu na bid&#8217;aa.<\/p>\n<p>18. Haijuzu kumwajiri mtu kusoma Quran Majeed na kufikisha malipo kwa marehemu.<\/p>\n<hr \/>\n<p>&nbsp;<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>14. Wasaidie waliofiwa kwa kuwapelekea chakula nyumbani kwao. Mtume (Sallallahu &#8216;alaihi wasallam) amewafundisha Maswahaba (radhiyallahu &#8216;anhum) kuonesha huruma kwa wafiwa na kuwasaidia wakati wa huzuni zao. Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) aliwahimiza Maswahaba (Radhiya Allaahu &#8216;anhum) kuandaa chakula na kupeleka kwa ajili ya familia, kwa sababu kupata msiba huu itakuwa vigumu kwao kutekeleza mahitaji yao. Abdullah &hellip;<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":2091,"comment_status":"closed","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[14,32],"tags":[],"class_list":["post-2609","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","","category-sunna-na-adabu","category-sunnah-na-adabu-za-kuwatembelea-marehemu"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2609","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2609"}],"version-history":[{"count":2,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2609\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2611,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2609\/revisions\/2611"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/2091"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2609"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2609"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2609"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}