{"id":2249,"date":"2024-02-22T12:56:48","date_gmt":"2024-02-22T10:56:48","guid":{"rendered":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2249"},"modified":"2024-02-26T06:37:02","modified_gmt":"2024-02-26T04:37:02","slug":"sunna-na-adabu-za-dua-6","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2249","title":{"rendered":"Sunna Na Adabu Za Dua 6"},"content":{"rendered":"<p>15. Usiombe dua kwa jambo lolote lisiloruhusiwa au kwa chochote kisichowezekana (kama mtu kuomba kuwa Nabi).<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu &#8216;anhu) kwamba Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) amesema: \u201cDua ya mtu itakubaliwa daima maadamu haombi kitu cha dhambi au kukata mahusiano ya kifamilia, na maadamu hana haraka (katika dua yake). \u201d Rasululla (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) akaulizwa: Vipi mtu ana haraka (katika dua yake)? Mtume (Sallallahu &#8216;alaihi wasallam) akajibu: \u201cMtu husema, \u2018Nimeomba dua na nimeomba, lakini sioni dua yangu inajibiwa.\u2019 Kisha akachoka na akaacha kuomba.<\/em><\/p>\n<p>16. Jizuie kutoa maelezo ya kina katika dua yako. Badala yake, unapaswa kuomba wema kwa ujumla.<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Wakati mmoja, Abdullah bin Mughaffal (radhiyallahu &#8216;anhu) alimsikia mwanawe akiomba dua kwa maneno yafuatayo, \u201cEwe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala)! Ninakuomba unipe kasri nyeupe lililo upande wa kulia katika Jannah nitakapoingia humo.\u201d Aliposikia hivyo, Abdullah bin Mughaffal (radhiyallahu &#8216;anhu) alisema, \u201cEwe mwanangu! Muombe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) Jannah, na mwombe ulinzi wake kutokana na moto wa Jahannam, kama nilivyomsikia Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam)akisema, kutatokea kundi la watu katika Ummah huu ambao watavuka mipaka katika tahara (k.m. wudhu, ghusl) na katika kuomba dua.\u201d<\/em><\/p>\n<p class=\"\" dir=\"RTL\" style=\"text-align: center; font-family: usmaan_taha; font-size: 16pt; line-height: 38px;\">\u0627\u062f\u0652\u0639\u064f\u0648\u0627 \u0631\u064e\u0628\u0651\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u062a\u064e\u0636\u064e\u0631\u0651\u064f\u0639\u064b\u0627 \u0648\u064e\u062e\u064f\u0641\u0652\u064a\u064e\u0629\u064b<span class=\"sign\">\u00a0\u06da<\/span>\u00a0\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e\u0647\u064f \u0644\u064e\u0627 \u064a\u064f\u062d\u0650\u0628\u0651\u064f \u0627\u0644\u0652\u0645\u064f\u0639\u0652\u062a\u064e\u062f\u0650\u064a\u0646\u064e\u00a0<span class=\"ayaNumber\">\u200e\ufd3f\u0665\u0665\ufd3e\u200f<\/span><\/p>\n<p>Muombeni Mola wenu kwa unyenyekevu na kwa sauti ya chini, kwa sababu Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) Hawapendi warukao mipaka.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>15. Usiombe dua kwa jambo lolote lisiloruhusiwa au kwa chochote kisichowezekana (kama mtu kuomba kuwa Nabi). Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu &#8216;anhu) kwamba Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) amesema: \u201cDua ya mtu itakubaliwa daima maadamu haombi kitu cha dhambi au kukata mahusiano ya kifamilia, na maadamu hana haraka (katika dua yake). \u201d Rasululla (sallallahu &#8216;alaihi &hellip;<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":1098,"comment_status":"closed","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[14],"tags":[],"class_list":["post-2249","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","","category-sunna-na-adabu"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2249","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2249"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2249\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2258,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2249\/revisions\/2258"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/1098"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2249"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2249"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2249"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}