{"id":2153,"date":"2024-01-17T09:07:09","date_gmt":"2024-01-17T07:07:09","guid":{"rendered":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2153"},"modified":"2024-01-17T09:12:27","modified_gmt":"2024-01-17T07:12:27","slug":"sunna-na-adabu-za-dua-1","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sw.alislaam.com\/?p=2153","title":{"rendered":"Sunna Na Adabu Za Dua 1"},"content":{"rendered":"<p>1. Anza kuomba dua yako kwa kumtukuza Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) kisha umswalia Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam). Baada ya hapo, katika hali ya unyenyekevu na heshima zote, taja haja zako mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala)<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Fadhaalah bin Ubaid (radhiyallahu &#8216;anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) alikuwa amekaa msikitini wakati mtu alipoingia msikitini na kuswali. Kisha akaomba dua: \u201cEwe Mwenyezi Mungu, nisamehe na unirehemu.\u201d <\/em><em>Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) akamwambia: \u201cEwe Musalli, umeharakisha (katika dua yako). Baada ya kuswali, unapokaa (kushiriki kwenye dua), basi (kwanza) mtukuze Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) kwa sifa zinazostahiki utukufu Wake. Baada ya hapo uniswalie, kisha muombe Allah Ta&#8217;ala, na muulize haja zako.\u201d Baadaye, Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) akamuona mtu mwingine akiswali. Baada ya kuswali, alijishughulisha na dua. Kwanza alimhimidi Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) na baada ya hapo akamswalia Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam). Rasulullah (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) akamuambia &#8220;Ewe Musalli, muombe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala), na muulize haja zako, dua yako itajibiwa (kwa sababu ulitimiza adabu za dua).<\/em><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><em>Abdullah bin Mas\u2019uud (radhiyallahu &#8216;anhu) ametaja, \u201cWakati wowote ukitaka kuomba dua mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala), basi aanze kwa kumtukuza Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) na kumsifu kwa sifa zinazolingana na utukufu na wake. Baada ya hapo, amswalie Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam), na baada ya hapo anatakiwa sasa kumuomba Allah Ta&#8217;ala chochote anachotaka. Kwa hakika (kwa kutimiza adabu za dua) kwa njia hii, kunamatumaini kwamba mtu atafaulu (kujibiwa dua yake).\u201d<\/em><\/p>\n<audio class=\"wp-audio-shortcode\" id=\"audio-2153-1\" preload=\"none\" style=\"width: 100%;\" controls=\"controls\"><source type=\"audio\/mpeg\" src=\"https:\/\/sw.alislaam.com\/wp-content\/uploads\/2024\/01\/AUD-20240117-WA0000.mp3?_=1\" \/><a href=\"https:\/\/sw.alislaam.com\/wp-content\/uploads\/2024\/01\/AUD-20240117-WA0000.mp3\">https:\/\/sw.alislaam.com\/wp-content\/uploads\/2024\/01\/AUD-20240117-WA0000.mp3<\/a><\/audio>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>1. Anza kuomba dua yako kwa kumtukuza Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) kisha umswalia Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam). Baada ya hapo, katika hali ya unyenyekevu na heshima zote, taja haja zako mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata&#8217;aala) Fadhaalah bin Ubaid (radhiyallahu &#8216;anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Mtume (sallallahu &#8216;alaihi wasallam) alikuwa amekaa msikitini wakati mtu &hellip;<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":1015,"comment_status":"closed","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[30,14],"tags":[],"class_list":["post-2153","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","","category-dua","category-sunna-na-adabu"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2153","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2153"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2153\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2157,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2153\/revisions\/2157"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/1015"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2153"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2153"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sw.alislaam.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2153"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}